Kazi wanayofanya Gen Z nchini Kenya imetukuka. Mungu atawalipa soon. Gen Z Tanzania amkeni mjikomboe.

Kazi wanayofanya Gen Z nchini Kenya imetukuka. Mungu atawalipa soon. Gen Z Tanzania amkeni mjikomboe.

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.

Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.

Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.

Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.

Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
 
Kuna watu hawana mapenzi na nchi yetu Mimi niwaonye, tulieni fanyeni kazi zenu sisi Wananchi wazalendo hatuzitaki vurugu zenu na hatutaziruhusu kamwe kwenye ardhi ya Taifa letu pendwa Tanzania
 
Kuna watu hawana mapenzi na nchi yetu Mimi niwaonye, tulieni fanyeni kazi zenu sisi Wananchi wazalendo hatuzitaki vurugu zenu na hatutaziruhusu kamwe kwenye ardhi ya Taifa letu pendwa Tanzania
Mnajisemea tuu wakati ukifika hivyo vifatu mtavopaki tuu na hakuta kiwa na mikwara tena
 
Tusipangiane maisha.
kama unataka kuandamana wewe andamana kwa faida yako .
ussimuige tembo kijana
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    6.3 KB · Views: 1
Kile kitendo Cha chief hangaya kuwa na msafara wa magari 700 ulitosha kuanza maandamano Tanzania.maana msafara mkubwa namna hiyo ni matumizi mabaya ya pesa za umma.Lakini ipo siku tu watanzania watalianzisha varangati kumfurusha paka pangoni.
 
ss
Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.

Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.

Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.

Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.

Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
sisi bado tunageneration chawa A.K.A generation kisingeli😂🤣
 
Kuna watu hawana mapenzi na nchi yetu Mimi niwaonye, tulieni fanyeni kazi zenu sisi Wananchi wazalendo hatuzitaki vurugu zenu na hatutaziruhusu kamwe kwenye ardhi ya Taifa letu pendwa Tanzania
Tulieni fanyeni kazi zenu? Wewe ni nani mkuu serikalini? Ndivyo mnavyochukulia wananchi hivi? Yaani kama watumwa wenu? Wafanye kazi nyie mchezee pesa au sio?
 
Shida ya mageuzi ya kupitia mtandaoni Yana madhara sana Kwa utulivu wa nchi hasa baada ya serikali kuanguka. Utata unakuja nani apewe nchi? Case study Arab spring.
 
Shida ya mageuzi ya kupitia mtandaoni Yana madhara sana Kwa utulivu wa nchi hasa baada ya serikali kuanguka. Utata unakuja nani apewe nchi? Case study Arab spring.
Mageuzi as of serikali iliyopo kuachia madaraka? Forget about that. Humu kuna keyboard warriors tu, usitegemee chochote.
 
Tulieni fanyeni kazi zenu? Wewe ni nani mkuu serikalini? Ndivyo mnavyochukulia wananchi hivi? Yaani kama watumwa wenu? Wafanye kazi nyie mchezee pesa au sio?
Wanaochezea hela ni Hawa waliokula hela za join the chain,
Wewe unafanya kazi gani mkuu mbona umekaa kitapeli tapeli Sana 🤣 unapesa gani yakufanya watu wachezee wapi ushawahi ona watu wanachezea pesa? Au unasemea kubetia
 
Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.

Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.

Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.

Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.

Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
Let us reason wise, Nairobi is business center, who much the country bis losing? Hao vijana sidhani Ni mtizamo sahihi kuufuata, Mtwara wkt wa gesi tuliona madhara yake, tusifike huko
 
Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.

Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.

Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.

Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.

Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
GEN Z wa Tz wako busy kula mihogo coco beach
 
Back
Top Bottom