Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Tatizo wanaofaidika na. Hii nchi ni. Wachache. Kwa iyo tunaona. Wivu wengine kuishi kama wako. Mbinguni huku. Sisi wengine tuliowengi. Zaidi tukiishi kama mashetani hali ngumu hata mlo wa siku ni mtihani acha tu tuendelee kuwachukia. Aise na kuichukia nchi hamna namna.Wakati wa Matukio kama haya ndio utaona Utofauti wa Wakenya na Watanzania. Hapa JF zingekuwa zimejaa Posts za Kulaumu Serikali, kutukana, kulalamikiw Uislamu, kutukana vyombo vya Ulinzi nk. Hongereni sana Wakenya na Watanzania tujifunze kuwa Utaifa ni muhimu sana katika hali yoyote. Watanzania leo wangekuwa wamejaza Posts za kutisha hata Watalii wasije Nchini bila kujali maslahi mapana ya Taifa. Lkn Wakenye wanakwambia Kenya iko Salama Kenya haina Ugaidi Wageni Karibuni. Thats Excellent.
Njooo kwa Watanzania sasa mweeeeeee!!! Wangeenda Mpaka BBC Swahili kueneza Umbea na kutia chumvi ya tukio. Tupunguze Ukasuku wa kukuza mabaya tu yanayochafua taswira ya Taifa bali tuweke mbele Maslahi ya Taifa tuikomboe Nchi yetu Kiuchumi.
{Karibu tembelea, subscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa