Kazi ya Askari Kenya ya kuwapongeza

Tatizo wanaofaidika na. Hii nchi ni. Wachache. Kwa iyo tunaona. Wivu wengine kuishi kama wako. Mbinguni huku. Sisi wengine tuliowengi. Zaidi tukiishi kama mashetani hali ngumu hata mlo wa siku ni mtihani acha tu tuendelee kuwachukia. Aise na kuichukia nchi hamna namna.

{Karibu tembelea, subscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
 
Kweli mkuu inafika mahala kiongozi wetu tunamuita majina mabaya kwasababu za ovyo kabisa, halafu jamaa yupo kimya tu na nafahamu kabisa huchungulia humu ila jamaa ni mzalendo tu, sipati picha huu wakati ndiyo angekuwa rais ni Mkapa watu wangenyooka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hatuna akiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea maneno mazito, mwenye akili atabadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmmh ngoja yakukute wewe ndoo utaona uchungu .utatamani hata kuojiwa na radio ya kijiji nasi bbc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnapotosha uzi huu.Askari wa kenya wameshindwa kuwalinda raia wao rejea westgate, garisa nk.Hii inadhihirisha wakenya hawako makini katika usalama wa raia.
 
Naona mnapotosha uzi huu.Askari wa kenya wameshindwa kuwalinda raia wao rejea westgate, garisa nk.Hii inadhihirisha wakenya hawako makini katika usalama wa raia.
Unajifanya analyst makini ili hali hata hauna suruali ya ndani.You hardly have a clue of what you are talking about imbecile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…