Kazi ya Computer application

Kazi ya Computer application

thetech

New Member
Joined
Feb 11, 2017
Posts
3
Reaction score
2
Anahitajika mfanyakazi awe mwanamke umri kati ya miaka 26 hadi 35 kwa ajili ya kazi ya computer application

Mwenye cheti cha certificate au Diploma ya Information Technology, computer science, computer application au course yoyote ya computer.

Mshahara Tsh 200,000 kwa mwezi

Awe anatokea Dodoma au awe anaweza kuishi Dodoma

Kwa ajili ya kazi tuma CV yako kwa email: chiefcomputertech@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi ni 28/11/2020
 
Anahitajika mfanyakazi awe mwanamke umri kati ya miaka 26 hadi 35 kwa ajili ya kazi ya computer application

Mwenye cheti cha certificate au Diploma ya Information Technology, computer science, computer application au course yoyote ya computer.

Mshahara Tsh 200,000 kwa mwezi

Awe anatokea Dodoma au awe anaweza kuishi Dodoma

Kwa ajili ya kazi tuma CV yako kwa email: chiefcomputertech@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi ni 28/11/2020
Wakiume vipi.
 
Back
Top Bottom