Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chama cha majambaziHivi vikundi vilipigwa marufuku na serikali lakini CCM bado inavitumia, ukifuatilia kwa undani zaidi unaweza kuta ndivyo vinavyotumika kwenye matukio mengi ya utekaji na uhalifu nchini na kulindwa na vyombo vya dola.
View attachment 3149948
View attachment 3149950
Ccm militia..Hivi vikundi vilipigwa marufuku na serikali lakini CCM bado inavitumia, ukifuatilia kwa undani zaidi unaweza kuta ndivyo vinavyotumika kwenye matukio mengi ya utekaji na uhalifu nchini na kulindwa na vyombo vya dola.
View attachment 3149948
View attachment 3149950
Yale ya kiluvyaHivi vikundi vilipigwa marufuku na serikali lakini CCM bado inavitumia, ukifuatilia kwa undani zaidi unaweza kuta ndivyo vinavyotumika kwenye matukio mengi ya utekaji na uhalifu nchini na kulindwa na vyombo vya dola.
View attachment 3149948
View attachment 3149950
UVCCM inaitwa Green Gard kwa kiingereza ndrugu zango wadau. don't be confused na jumuiya hiyo muhimu na makini sana ndani ya CCM.Hivi vikundi vilipigwa marufuku na serikali lakini CCM bado inavitumia, ukifuatilia kwa undani zaidi unaweza kuta ndivyo vinavyotumika kwenye matukio mengi ya utekaji na uhalifu nchini na kulindwa na vyombo vya dola.
View attachment 3149948
View attachment 3149950
Hawa ndiyo watekaji wenyeweHivi vikundi vilipigwa marufuku na serikali lakini CCM bado inavitumia, ukifuatilia kwa undani zaidi unaweza kuta ndivyo vinavyotumika kwenye matukio mengi ya utekaji na uhalifu nchini na kulindwa na vyombo vya dola.
View attachment 3149948
View attachment 3149950
Mavazi ya kijeshi yalipigwa Marufuku, Na kumbuka Walinzi wa Mbowe waliambiwa wasivae magwanda yasiyo rasmi. Na jeshi la Wananchi waliishapiga marufuku, ukikutwa unavuliwa na unaweza kuchukuliwa hatua ueleze ulivitoa wapi.
Chama kikaa muda mrefu madarakani hupoteza mvuto, matokea yake hutumia mabavu kukaa madarakani kwa shuruti, hii ndio hupelekea kuwa na hivi vikundi vya utekaji, kunajisi chaguzi na ushenzi mwingi wa aina hiyo.UVCCM inaitwa Green Gard kwa kiingereza ndrugu zango wadau. don't be confused na jumuiya hiyo muhimu na makini sana ndani ya CCM.
kumbuka hiyo siyo tafsiri 🐒
nadhani chama kisichokua na maelewano baina ya viongozi waandamizi wake,Chama kikaa muda mrefu madarakani hupoteza mvuto, matokea yake hutumia mabavu kukaa madarakani kwa shuruti, hii ndio hupelekea kuwa na hivi vikundi vya utekaji, kunajisi chaguzi na ushenzi mwingi wa aina hiyo.