Kazi ya kuajiriwa ni utumwa tu

Haina haja ya kusitisha mkataba acha tuuu...bongo hakuna cha mkataba.
 
Suala la kuacha kazi ni maamúzi binafsi ya mtu, hivyo kama unaona ni bora kujiajiri ni vyema ukafanya hivyo ila sio kuja humu kuanz kutoa mapungufu ya mwajiri wako na kuona waajiri hawafahi wakat kuna watu wanakula good time na waenjoy kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…