Jamii forum watu wanafiki mno mmezidi unafiki!!
Hivi ule ufisadi mnaouona ni ule wa rostam, EL na Ridhiwani, ila nyie kwenda kutoa Rushwa mnashauriana na kuona ni haki yenu, hivi angekuwa EL, or Ridhiwani au Rostam mngekomaa nae mkimuita fisadi ila nyie sawa tu haina shida..........Wanafiki wakubwa nyie...............................................................................................................................
Wewe jamaa uliyeanzusha hii thread mnakifi mkubwa tena fisadi, sisi tunapambana na udhalimu na ufisadi wewe unataka tukusapoti.Kafie mbali fisadi mkubwa wewe na huyo ndugu yako