banalunda
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 231
- 67
Wanajamvi habari za majukumu? Kuna jamaa yangu mmoja ana bachelor, ameepata jamaa mmjoja anayefanya kazi ILO akamwambia kuwa kuna nafasi ya kazi kwenye upande wa administrative ila anatakiwa ainunue kwa 1M the wasaini mkataba wa kazi then aanze kazi. Hebu niambieni mnalionaje hili....