Kazi ya shanga kiunoni kwa wamama ni ipi?

Ni machangudoa period hamna jipya hapo.
 
Point kubwaa ni urembo tuu kwa mwanamkee...Mfano mila za kingoni mwanamkee unapoolewa mashangazi wanakupa hizooo ni Kama urembo kwa mwanamkee anayeolewaa...ingawaa kwa sasa sio muhimuu Sanaa
 
Ntaanza na kazi za shanga kwa mwanamke,yani mwanaume inabidi azifanyaje pili ntafwata kazi ya shanga kwa mwanaume,yani jinsi mwanamke anavyotakiwa kuzifanya kwa mwanaume
 
"Wanasema" zinaongeza ladha mkiwa faragha.
 
Ila huwa zinahamasisha kudinyana haswaa,mengne siyajui
 
1. shanga kwa waswahili wanaamini zinachonga shepu zao(hili naweza kuamini) ukiwakuta wale wazoefu wa kuvaa shanga shepu zao zinakuwa zimechongeka vizuri san
2. pili kwenye mizagumuo akikulia kwa juu alafu ukawa unajua kuzitumia kwa utaratibu unamsugulia kwenye ngozi kwa kutumia shanga hizo nyege zake sio za kawaida anaweza kukuvunja mashine
 
Ukibandika picha uniite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…