Kazi ya shanga kiunoni kwa wamama ni ipi?

Kazi ya shanga kiunoni kwa wamama ni ipi?

Sijui jamani maana niupotolo mnaachika tu , sasa mishanga yanini kuna kungwi mmoja ameibiwa bwana unajua mume au mwanaume sii wa kumsotea sotea hela uwe na maisha mazuri
 
Kiukweli wazaramo wanawake sio misungo, sisi ambao hatujapelekwa mkoleni tukiwauliza hawasemi ng’oo. Wanaishia kutupiga siasa tu 😀

Na mimi kama nyie nasubiri majibu hapa.
 
Habari wakuu, Kwa hapa terminator naona nimerterminatiwa, hizi shanga wanazovaa wadada viunoni kazi yake na matumizi yake hasa ni yapi?

Maana kila nikikutana na hizi mada majibu yake nakuta yamekaa kimafumbo mafumbo tu,
"Ukipata anaejua matumizi yake...."
Na mafumbo kibao kiasi kwamba kuna watu wanajua matumizi ya hizi shanga tofauti na kuzichezea mkiwa mnachakatana au ndio kukalilishana mafumbo ambayo hata aliesema hajui majibu yake.

Hebu wakuu nipeni hapa matumizi ya hizi shanga ni yapi kwenye 6×6
Na wamama leteni maana ya rangi ya hizo shanga zinamaanisha nini.
Pengo la mafunzo ya jandoni limejitokeza kupitia post hii
 
Shanga kitaalamu

Kwa mtoto mdogo huwa anafungwa kamba kiunoni hiyo kamba inafungwa dawa au mkaa au kitu chochote cha baharini kwa ajili ya ulinzi

Kwa mwanamke shanga anakuwa amefunga madawa yake ili akukamate vizuri
Huwezi kuyaona kwa macho ya kawaida

Ila mwanamke anayevaa shanga kwenda kwa mganga ni kugusa

Wengine wanavaa wanaamini litachonga shepu zao waonekane wana viuno vya kunyanyua shanga

Lastly ni kuiga
Kama shanga ni uchawi nami sharogwa
 
Hawatoi maelezo ya kutosha wanapindisha maelezo yaani kila mtu anajitia anajua ila anakuweka kwenye blacket kumbe nae kawekwa hivyohivyo
 
Wengi wanaiga kwasababu ni kitu kinachopendezesha miili yao, heri ya shanga unaweza pata jibu kuwa ni ili kiuno kijichonge,vipi kuhusu Vikuku je?

anyway all in all wanafanya kwa ajili yetu wanaume,hamna anaevaa shanga kwa ajili yake binafsi na ndio mana wengine kama hana ratba ya kuja kwako havai.

Binafsi nazipenda ila sio shanga napenda Cheni haya mashanga ya kimasai ambayo yakikatka yanadondosha vipunje mwanamke akivaa namuona mswahili sana,hazinivutiiii.

Kuna cheni nzuri sana za viunoni zina vigololi safi classic ukizichezea kiunoni mwa mdada yes unahisi uko na mtoto wa kihindi.

wadada jipambeni sisi tunapenda, maswala ya kazi yake nini achaneni nayo komaeni na urembo.
 
Habari wakuu, Kwa hapa terminator naona nimerterminatiwa, hizi shanga wanazovaa wadada viunoni kazi yake na matumizi yake hasa ni yapi?

Maana kila nikikutana na hizi mada majibu yake nakuta yamekaa kimafumbo mafumbo tu, "Ukipata anaejua matumizi yake...."

Na mafumbo kibao kiasi kwamba kuna watu wanajua matumizi ya hizi shanga tofauti na kuzichezea mkiwa mnachakatana au ndio kukalilishana mafumbo ambayo hata aliesema hajui majibu yake.

Hebu wakuu nipeni hapa matumizi ya hizi shanga ni yapi kwenye 6×6 Na wamama leteni maana ya rangi ya hizo shanga zinamaanisha nini.
Kuna wazaramo humu watakuambia subiri
 
Back
Top Bottom