Tetesi: Kazi ya Sumaye ndani ya upinzani alotumwa na CCM ikiisha atarejea kama kina Msindai

Tetesi: Kazi ya Sumaye ndani ya upinzani alotumwa na CCM ikiisha atarejea kama kina Msindai

Barya

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
949
Reaction score
1,193
Yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania , ni kama mchezo , lakin wajanja walisha jua kuwa msindai na mpendazoe walitumwa kwa kazi maalum
Swali gumu najiuliza je lowassa na sumaye urafiki ulianza Lin mpaka akamfuata uko?

Pili lowassa asingehama , sumaye angeama? Ukipata majibu ya mambo hayo utaelewa Kazi wameifanya vizuri na wapinzani wasivyojua kuchambua walikuwa wanashangilia eti mabadiriko , wakati hao ni wazee wakistaafu Ccm wanapewa kazi maalum kwenye upinzani kuvuruga mipango ya washindani,

Hakukuwa na haja ya kuwapokea hawa watu maana tiyari cdm ilikuwa ishaanza kujitegemea kimawazo, kiutaratibu sasa Leo hii Ccm imepandikiza magobachev kibao ,,
Na pale wanapojifanya wamerudi Ccm utasikia
well done
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
 
Na watapewa forumn kubwa ya kuongea kama msindai, kalaghabao, wajinga waliwao
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
WATU MKISHASHIBA UBWABWA MNAOTA NDOTO ZA MCHANA LOWASA PIGA UA URAIS HAPATI
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)

Duh..! Hivi ndoto haziishi tu...!!!!
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
Hii ndio raha ya kuongoza nyumbu ,akili zao ziko vice versa
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
Katengua kauli yake ya 2015??[emoji23] [emoji23]
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
jamani Lowasa umri umeshaenda. mbona mnataka kumpa babu wa watu presha bila sababu. hana muda huo na after all anatarajiwa kurudi ccm wakati wowote
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)

Hahahahahahahahaha! Tuberculosis Joshua hana tofauti na mganga wa kienyeji...
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
Dah... Na atamsimika tena 2020 kuzidi kuimarisha mazingira yawe mazuri zaidi ili 2025 Mzee wetu ENL asipate kazi ngumu...[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Back
Top Bottom