Tetesi: Kazi ya Sumaye ndani ya upinzani alotumwa na CCM ikiisha atarejea kama kina Msindai

Tetesi: Kazi ya Sumaye ndani ya upinzani alotumwa na CCM ikiisha atarejea kama kina Msindai

Yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania , ni kama mchezo , lakin wajanja walisha jua kuwa msindai na mpendazoe walitumwa kwa kazi maalum
Swali gumu najiuliza je lowassa na sumaye urafiki ulianza Lin mpaka akamfuata uko?

Pili lowassa asingehama , sumaye angeama? Ukipata majibu ya mambo hayo utaelewa Kazi wameifanya vizuri na wapinzani wasivyojua kuchambua walikuwa wanashangilia eti mabadiriko , wakati hao ni wazee wakistaafu Ccm wanapewa kazi maalum kwenye upinzani kuvuruga mipango ya washindani,

Hakukuwa na haja ya kuwapokea hawa watu maana tiyari cdm ilikuwa ishaanza kujitegemea kimawazo, kiutaratibu sasa Leo hii Ccm imepandikiza magobachev kibao ,,
Na pale wanapojifanya wamerudi Ccm utasikia
well done
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Dr Slaa hakueleweka kabisa
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
Hahahahah
Duh, uliona ile safu yote pale jukwaa kuu? Kama uliiona basi - inakubidi ubadiri mawazo yako na useme kuwa ENL yupo UKAWA kwa kazi maalumu, unaweza kueleweka.
 
Duh..! Hivi ndoto haziishi tu...!!!!
Dah...Anakatwa au Hakatwi? Anahama au hahami? Anagombea au hagombei? Anashinda au hashindi 2015? Mmemnywa vya kutosha Mzee wetu mwacheni apumzike sasa...[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.
Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.
Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)

he!!
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
Dunia ina maajabu sana.
Mshasahau viuongo vyenu kuwa lowassa ni chaguo la Mungu 2015.
 
Yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania , ni kama mchezo , lakin wajanja walisha jua kuwa msindai na mpendazoe walitumwa kwa kazi maalum
Swali gumu najiuliza je lowassa na sumaye urafiki ulianza Lin mpaka akamfuata uko?

Pili lowassa asingehama , sumaye angeama? Ukipata majibu ya mambo hayo utaelewa Kazi wameifanya vizuri na wapinzani wasivyojua kuchambua walikuwa wanashangilia eti mabadiriko , wakati hao ni wazee wakistaafu Ccm wanapewa kazi maalum kwenye upinzani kuvuruga mipango ya washindani,

Hakukuwa na haja ya kuwapokea hawa watu maana tiyari cdm ilikuwa ishaanza kujitegemea kimawazo, kiutaratibu sasa Leo hii Ccm imepandikiza magobachev kibao ,,
Na pale wanapojifanya wamerudi Ccm utasikia
well done
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Imekuwaje tena Makamanda?
Yaani leo mnawageuka kina Sumaye kuwa ni wasaliti na mamluki?
Ama kweli hiyo kambi ni ya hatari.
Je huu si ndio uliokuwa mpango wa ushindi wa Ukawa 2015?
 
Tatizo la kukaririshwa maneno na mkaanza kuyaimba! Kazi maalum ambayo wote mnaoiimba huwa hamuitaji ni ipi?!
Hivi tukiwa wakweli huyo msindai na mpendazoe wamefanya nini cha maana upinzani?!
Duh, ila watu mnapenda hadithi!!!
 
Kuna mambo uspoongea utahesabiwa akili kuiongea watu wana gundua upeo wako, kipi bora mkuu? Chagua
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)


ha ha ha ha ha ha ha
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
we kweli Kibwetere....
hebu ngoja nicheke tena
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ha ha ha ha ha ha ha
 
mdogo wangu kevi..slaa ni agent wa muda mrefu..tunamjua...zito ni agent tunamjua...lipumba ni agent...it's well known...seif maalim ni mtu wetu...sumaye ana kazi maalum....kwa wenye akili rudieni speech aliyoitoa wakati anahamia upinzani.....aliwaambia CCM...wasiwe na taabu....yuko pamoja nao..kuna kazi anaenda kuifanya na badae watamuelewa
 
Yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania , ni kama mchezo , lakin wajanja walisha jua kuwa msindai na mpendazoe walitumwa kwa kazi maalum
Swali gumu najiuliza je lowassa na sumaye urafiki ulianza Lin mpaka akamfuata uko?

Pili lowassa asingehama , sumaye angeama? Ukipata majibu ya mambo hayo utaelewa Kazi wameifanya vizuri na wapinzani wasivyojua kuchambua walikuwa wanashangilia eti mabadiriko , wakati hao ni wazee wakistaafu Ccm wanapewa kazi maalum kwenye upinzani kuvuruga mipango ya washindani,

Hakukuwa na haja ya kuwapokea hawa watu maana tiyari cdm ilikuwa ishaanza kujitegemea kimawazo, kiutaratibu sasa Leo hii Ccm imepandikiza magobachev kibao ,,
Na pale wanapojifanya wamerudi Ccm utasikia
well done
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Mkuu ili swala nilishawaambia lakini vichwa maji eti umshangilie sumaye sumaye huyu mmmhhhh!!!!
Sumaye ni mkusanya taarifa nyeti kama alivyo mbatia siku kazi wakimaliza mtawasikia
 
Wasiojua ni vigumu kukuelewa mkuu, waache waone mchezo huu unavyochukua hatamu ...Nasema tena, CCM ni master!
 

Bwana wetu YESU CHRISTO kupitia Nabii wake TB Joshua alikuja kumpa taarifa na ujumbe wa kinabii Ndg Edward Lowassa kuwa atakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 2020.

Kusema kuwa CCM wamemtuma ENL kwenda CDM ni uongo na chukizo kwa MUNGU.

Amini usiamini ENL ni Rais mwaka 2020. JPM alisimikwa kwa kazi maalumu (kuandaa mazingira kwa ajili ya ENL)
hahahaa nimesoma comment yako nikacheka sana mkuu,, huu ni unajmu au ni sayansi gani wa kwetu??
 
The issue is you do not understand the strategies of these guys. Wamekwisha kuujua utupu wenu pale vijana wao walipotumika kuwa test mka panic na kuhamishia ulinzi wa taifa zima kwenye mkutano wenu. Usiwachukulie lightly hao jamaa wako vizuri kiintellijensia. Ni watu wachache sana wenye akili na hekima ya kiungu kama ya mfalme solomoni wanaoweza kuwaelewa
 
Nasema kwa haya yanauimarisha upinzani kuliko wanavyofikiria kuwa wanaubomoa kitu pekee kinachoweza kuua upinzani ni ccm kuwapa maisha bora watz basi
Si kweli
 
Back
Top Bottom