Tetesi: Kazi ya Sumaye ndani ya upinzani alotumwa na CCM ikiisha atarejea kama kina Msindai

Du, hiyo akili umeipata wapi baba, sasa pirikapirika zilikuwa za nini?, si angesubiri tu.
 
Soma post yangu upya! Usitumie akili sana. Yaani relax tu ukiwa unaitafakari. Utaielewa. Sikusema Binadamu ni MUNGU.

MUNGU sio binadamu.
Ila binadamu ni mfano wa mungu
 
Dah... Na atamsimika tena 2020 kuzidi kuimarisha mazingira yawe mazuri zaidi ili 2025 Mzee wetu ENL asipate kazi ngumu...[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Wanaota tu
 
Hehehe humpendi slaaa weww
 
Mkuu ili swala nilishawaambia lakini vichwa maji eti umshangilie sumaye sumaye huyu mmmhhhh!!!!
Sumaye ni mkusanya taarifa nyeti kama alivyo mbatia siku kazi wakimaliza mtawasikia
Umeona hee
 

Sasa huu ni upuuz,kabla ya uchaguzi mlsema atakua rais 2015 tena saa4 asubaah..
Sasa mnasema 2020..
..
Yaani km story ya vpnd vya "watoto wetu"
 
CCM haikua na haja, wala aina haja ya kumtuma mtu kama Mr. Zero. Katika vitu ambavyo upinzani wa Tz ulipatia kwa 100% ni kumuita huyo jamaa mr. Zero na EL fisadi papa.
 
lowasa na sumaye ni mamluki wa ccm...

mbowe hana sauti tena, maana cdm inaendeshwa na ccm kwa mlango wa nyuma..
 
lowasa na sumaye ni mamluki wa ccm...

mbowe hana sauti tena, maana cdm inaendeshwa na ccm kwa mlango wa nyuma..
 
kwahiyo kunyang'anywa mashamba nako ni sehemu ya huo mkakati?
 

Viroba kumbe vipo mitaani watu wanakunywa, halafu wanaleta ndoto za mchana baada ya kunywa viroba. Haaahaaa haaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…