ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
amini mkuu.Hongera master.. Kazi yangu ya kwanza "internship" Nililipwa chini ya 300k japo gharama za siku ofisi inaniwezesha..
So naelewa master ukifika level flani unamshukuru Mungu maana ukilinda sana hadhi mwisho wa siku hufanyi lolote la msingi kwa kuogopa watu