Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeishi Arusha?baki mjini acha ushamba hao wanaokwambia dar maisha ghali arusha watapaweza kweli
baki mjini acha ushamba hao wanaokwambia dar maisha ghali arusha watapaweza kweli
Arusha pana ugumu gani afsa kama hadi chips za buku unapata?baki mjini acha ushamba hao wanaokwambia dar maisha ghali arusha watapaweza kweli
7oo mwanza inapendezaKote ni mjini, Kote nitapanga,
Nina usafiri binafsi.
Watu wanasema Dar es Salaam maisha ni gharama sana bora niende ya Mwanza.
Mdau unashaurije ?
Maisha ugumu kwa dar ni kodi tu ila viingine kawaida ma kama una gari hata huko mwanza utajaza mafuta tu, nakushauri baki dar gap ya 600k ni kubwa sanaKote ni mjini, Kote nitapanga,
Nina usafiri binafsi.
Watu wanasema Dar es Salaam maisha ni gharama sana bora niende ya Mwanza.
Mdau unashaurije ?
Ikikatwa hiyo anabaki na 500k7oo mwanza inapendeza
Baki mjini..Kote ni mjini, Kote nitapanga,
Nina usafiri binafsi.
Watu wanasema Dar es Salaam maisha ni gharama sana bora niende ya Mwanza.
Mdau unashaurije ?
Nenda Dar utanishukuru Baadae. Infact mikoani maisha hayana tofauti na Dar tena ni magumu zaidiKote ni mjini, Kote nitapanga,
Nina usafiri binafsi.
Watu wanasema Dar es Salaam maisha ni gharama sana bora niende ya Mwanza.
Mdau unashaurije ?
Nyingi kwa dar ?kvpKwa dar hiyo pesa ni nyingi mno asikudanganye mtu huko mikoani hakuna fursa za maana zaidi ya kilimo.