Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee huku mikoan amna cost kubwa ya usafr.Nenda Dar utanishukuru Baadae. Infact mikoani maisha hayana tofauti na Dar tena ni magumu zaidi
Sijui watu wanapima ugumu kwenye Nini.Arusha pana ugumu gani afsa kama hadi chips za buku unapata?
Yani ukimbie Dar kisa ongezeko la 600k? 😂
Tulia hapo hapo Dar
Jamaa ana usafiri wake tayariMzee huku mikoan amna cost kubwa ya usafr.
Chukua 1.3m Dar
Lindi /mtwara ukiacha samaki nn ni ghali?Nenda Dar mkuu, Mji wenye mishemishe zaidi na kama utapata angalau masaa 4 ya kufanya shughuli zako kwa siku, basi uwezekano wa kufanya michongo mingine ya kukuingizia pesa utakuwepo.
Mimi nipo huku mikoani bado maisha ni tight kabisa..
Miji kama wa Lindi au Mtwara maisha ni ghali sana, vitu bei juu kinoma.. Samaki wanavuliva bahari ile pale unaiona ila bei zake hazishikiki.
Je kulwa vp nataka nije niishe maisha yakoje?Nenda Dar mkuu, Mji wenye mishemishe zaidi na kama utapata angalau masaa 4 ya kufanya shughuli zako kwa siku, basi uwezekano wa kufanya michongo mingine ya kukuingizia pesa utakuwepo.
Mimi nipo huku mikoani bado maisha ni tight kabisa..
Miji kama wa Lindi au Mtwara maisha ni ghali sana, vitu bei juu kinoma.. Samaki wanavuliva bahari ile pale unaiona ila bei zake hazishikiki.
Mnataka kijijini abaki nani?Ikikatwa hiyo anabaki na 500k
Mh kvip?Dsm maisha rahisi
Hivi bei ya vyakula kwa Lindi na Mtwara unaweza kufananisha na mikoa mingine Tanzania hasa yenye uzalishaji wa chakula(Nafaka).Lindi /mtwara ukiacha samaki nn ni ghali?
Wewe Mtumishi wa serikali unakujaje kuishi Kilwa wakati huna barua ya uhamisho.. mpaka mwajiri wako akupitishia barua ni miaka 3 mbele😃Je kulwa vp nataka nije niishe maisha yakoje?