Kazi yenye mshaara wa milioni 1.3 Dar es Salaam au mshaara wa laki 7 Mwanza ?

Kazi yenye mshaara wa milioni 1.3 Dar es Salaam au mshaara wa laki 7 Mwanza ?

Nenda Dar mkuu, Mji wenye mishemishe zaidi na kama utapata angalau masaa 4 ya kufanya shughuli zako kwa siku, basi uwezekano wa kufanya michongo mingine ya kukuingizia pesa utakuwepo.
Mimi nipo huku mikoani bado maisha ni tight kabisa..
Miji kama wa Lindi au Mtwara maisha ni ghali sana, vitu bei juu kinoma.. Samaki wanavuliva bahari ile pale unaiona ila bei zake hazishikiki.
 
Nenda Dar mkuu, Mji wenye mishemishe zaidi na kama utapata angalau masaa 4 ya kufanya shughuli zako kwa siku, basi uwezekano wa kufanya michongo mingine ya kukuingizia pesa utakuwepo.
Mimi nipo huku mikoani bado maisha ni tight kabisa..
Miji kama wa Lindi au Mtwara maisha ni ghali sana, vitu bei juu kinoma.. Samaki wanavuliva bahari ile pale unaiona ila bei zake hazishikiki.
Lindi /mtwara ukiacha samaki nn ni ghali?
 
Nenda Dar mkuu, Mji wenye mishemishe zaidi na kama utapata angalau masaa 4 ya kufanya shughuli zako kwa siku, basi uwezekano wa kufanya michongo mingine ya kukuingizia pesa utakuwepo.
Mimi nipo huku mikoani bado maisha ni tight kabisa..
Miji kama wa Lindi au Mtwara maisha ni ghali sana, vitu bei juu kinoma.. Samaki wanavuliva bahari ile pale unaiona ila bei zake hazishikiki.
Je kulwa vp nataka nije niishe maisha yakoje?
 
Back
Top Bottom