Kazi za kujitolea imekuwa lazima?

Kazi za kujitolea imekuwa lazima?

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Habari za leo wakuu,

Mimi nina nyumba Maji ya chai, Kijiji Cha Imbaseny, Arumeru, Arusha.

Leo nikiwa huku kijiini viongozi wa Kijiji wanapita kutangaza watu watoke wakajenge madarasa kwa nguvu.

Kumbuka leo ni siku ya kazi kwa waajiriwa.

Ukienda kazini usipoonekana kwenye ujenzi wa madarasa mgambo hupita kunyang'anya mali za wananchi kwa nguvu.

Hichi kitendo ni sawa?Je, kina baraka ya Serikali? Waziri wa Tamisemi unalijua hili?

Nawatakia siku njema wakuu!
 
Kuna mambo mengi sana ya ajabu yanafanywa bila kufuata sheria za nchi na raia wameyakubali tu, lingine ni hili la biashara kufungwa kwa lazima hadi saa nne Jumamosi za mwisho wa mwezi kwa kigezo cha watu wafanye usafi.
 
Hela ya madarasa imeshatolewa na Rais na alishatoa amri hakuna kuchangiana wazazi au kishurutisha watu wakasaidie ujenzi wakati pesa ipo na anatakiwa apewe mkandarasi aliyepewa hiyo kandarasi.

Report huo ujinga kwa mkuu wa wilaya au mkoa kabisa.
 
Mbona ni jambo la kawaida sanaa, wananchi wanajitolea nguvu kazi na vifaa mbali mbali vya ujenzi kisha serikali inajaziliziaaa kukamilisha ujenzi

Huenda siku pendekezwa ndo changamoto, nawe pia ulipenda jitolea. Next time waambie wafanye jumamosi nawe ukajenge taifaaa

kwa kuwa umeajiriwa/jiajiri basi changia at 10k ili ikanunue maji ya kunywa kwa wale watakaoenda eneo la kufanyia kazi
 
Analipa kodi na tozo
Mbona ni jambo la kawaida sanaa, wananchi wanajitolea nguvu kazi na vifaa mbali mbali vya ujenzi kisha serikali inajaziliziaaa kukamilisha ujenzi

Huenda siku pendekezwa ndo changamoto, nawe pia ulipenda jitolea. Next time waambie wafanye jumamosi nawe ukajenge taifaaa

kwa kuwa umeajiriwa/jiajiri basi changia at 10k ili ikanunue maji ya kunywa kwa wale watakaoenda eneo la kufanyia kazi
 
Kuchangia maendeleo ya kijiji/mtaa sio kitu kibaya kama upo kwenye Ajira ni vyema ukazungumza na uongozi wako ukachangia monetary badala ya labour
 
Habari za Leo wakuu,
Mimi nina nyumba Maji ya chai, Kijiji Cha Imbaseny, Arumeru, Arusha.

Leo nikiwa huku kijiini viongozi wa Kijiji wanapita kutangaza watu watoke wakajenge madarasa kwa nguvu.

Kumbuka Leo ni siku ya kazi kwa waajiriwa.

Ukienda kazini usipoonekana kwenye ujenzi wa madarasa mgambo hupita kunyang'anya mali za wananchi kwa nguvu.

Hichi kitendo ni sawa?Je, kina baraka ya Serikali? Waziri wa Tamisemi unalijua hili?

Nawatakia siku njema wakuu!
Kaka kafanye kazi kazi, kwani kodi ipo kwa ajili ya nini?
 
Mbona ni jambo la kawaida sanaa, wananchi wanajitolea nguvu kazi na vifaa mbali mbali vya ujenzi kisha serikali inajaziliziaaa kukamilisha ujenzi

Huenda siku pendekezwa ndo changamoto, nawe pia ulipenda jitolea. Next time waambie wafanye jumamosi nawe ukajenge taifaaa

kwa kuwa umeajiriwa/jiajiri basi changia at 10k ili ikanunue maji ya kunywa kwa wale watakaoenda eneo la kufanyia kazi
Tulichangishwa elfu 20 kwa ajili ya maendeleo ya Kijiji.
 
Hela ya madarasa imeshatolewa na Rais na alishatoa amri hakuna kuchangiana wazazi au kishurutisha watu wakasaidie ujenzi wakati pesa ipo na anatakiwa apewe mkandarasi aliyepewa hiyo kandarasi.

Report huo ujinga kwa mkuu wa wilaya au mkoa kabisa.
NItazingatia Hilo mkuu kuripoti Kwa wahusika!
 
kaka kafanye kazi kazi, kwani kodi ipo kwa ajili ya nini?
HaWa Jamaa wanapita kabisa kutangaza Kwa spika usipoonekana tutapita kubambua yaani kunyang'anya mali Kwa nguvu!
 
Kuna mambo mengi sana ya ajabu yanafanywa bila kufuata sheria za nchi na raia wameyakubali tu, lingine ni hili la biashara kufungwa kwa lazima hadi saa nne Jumamosi za mwisho wa mwezi kwa kigezo cha watu wafanye usafi.
Kweli Ina shangaza😲
 
Kuchangia maendeleo ya kijiji/mtaa sio kitu kibaya kama upo kwenye Ajira ni vyema ukazungumza na uongozi wako ukachangia monetary badala ya labour
Kuchanga pesa sio tatizo tulishachanga elfu 20.Ninachoongelea hapa ni kulazimishwa watu wakafanye kazi Kwa nguvu usipoonekana Kwa sababu yeyote unanyang'anywa Mali!
 
Hapo wanataka kutafuta ujiko na kujikosha kuonekana wananchi wameshiriki kwenye ujenzi wa madarasa.

Nikishikwa na sisiyemu kulazmishwa hivyo aki watanikuta central
 
Kodi na tozo ni muhimu ila havitosheleziii kuleta maendeleoo..... mawazo na ushiriki wa kila mwananchi katika majukumu ya jamii ni muhimu pia
Pesa ya korona imednda wapi? Si tuliambiwa inaenda jenga madarasa?
 
Mbona ni jambo la kawaida sanaa, wananchi wanajitolea nguvu kazi na vifaa mbali mbali vya ujenzi kisha serikali inajaziliziaaa kukamilisha ujenzi

Huenda siku pendekezwa ndo changamoto, nawe pia ulipenda jitolea. Next time waambie wafanye jumamosi nawe ukajenge taifaaa

kwa kuwa umeajiriwa/jiajiri basi changia at 10k ili ikanunue maji ya kunywa kwa wale watakaoenda eneo la kufanyia kazi
Kujenga Taifa sio lazima kubeba matofali
 
Back
Top Bottom