Filex Thomas
New Member
- Sep 5, 2024
- 2
- 7
Nisaidieni kazi ambazo mtu aliyesoma IT anazifanya kwa upana zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha sana MkuuMara nyingi huwa wana burn CD
jmnMara nyingi huwa wana burn CD
Huyo boya usimsikilize form 4 failure ndio wanaburn CD kwenye studio za kukodi VCD/DVD za movie za kutafsiriwa uongo na ukweli asikupotoshe
Hio hata form 4 failure anafanya acha ushambaWazee wa kupiga windo na kuflash simu
Ila mkereketwa hii Dunia ni ndogo mno 😄😂, ngoja waje?Mara nyingi huwa wana burn CD
😆😆😆😆Ila mkereketwa hii Dunia ni ndogo mno 😄😂, ngoja waje?
Kosa langu lipi nmejibu kulingana na swali akileta ubishi akasome halaf aje atupe mrejesho baada ya miaka minneIla mkereketwa hii Dunia ni ndogo mno 😄😂, ngoja waje?
Umeshaolewa Mada lakini au unaandika tu ujinga?Watu wa IT ni wazuri sana kwenye kilimo cha mboga mboga,wanalima kwa computer!
Kuolewa mada ndo kuolewaje sijaelewa!Umeshaolewa Mada lakini au unaandika tu ujinga?
UmeshaolewaKuolewa mada ndo kuolewaje sijaelewa!