BB_DANGOTE
Senior Member
- Sep 25, 2023
- 167
- 148
- Thread starter
- #21
Nin Cha uongo apo..Uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nin Cha uongo apo..Uongo
Kwan Tanzania atuja Anza kutumia Chat gpt na AI nyingine..Kwa Tanzania hii bado sanaaa ikiwa tu lilinunuliwa boti la kukaribisha wageni bungeni likawa hata halijui jina lake au lugha linayopaswa kuzungumza.
Kazi zote ulizozitaja zitapata wadau zaidi baada ya ufanisi kuongezeka.Nin Cha uongo apo..
huku kwetu itachukua muda sana mkuu, trekta tu bado zinatushindaWatu si Wana lalamika ajira hakuna siku zinakuja watazikosa kwelikweli..
Specify mkubwa..Kazi zote ulizozitaja zitapata wadau zaidi baada ya ufanisi kuongezeka.
Hivi wizara ya Nape ndio ilikuwa inahusika na Lile roboti ama?Kwa Tanzania hii bado sanaaa ikiwa tu lilinunuliwa boti la kukaribisha wageni bungeni likawa hata halijui jina lake au lugha linayopaswa kuzungumza.
Hapana ni mda mchache sana Kwa sababu Zina operate kwenye internet..huku kwetu itachukua muda sana mkuu, trekta tu bado zinatushinda
Yes tunatumia but kwa mwendo wa nchi fanano na Tanzania kufikia viwango vya technology hiyo kama wenzetu wanaotumia leo siyo kizazi chako wewe ni kizazi cha mjukuu wako.Kwan Tanzania atuja Anza kutumia Chat gpt na AI nyingine..
Izoo ai awezi fanyaaJe Kazi za mjengo za jua Kali na zenyewe vipi ?
AI bado Sana tena SanaIzoo ai awezi fanyaa
Kasikilize speech ya Jensen Huang CEO wa INVIDIA na Elon musk utaelewa zaidi Nini kinakuja kutokeaYes tunatumia but kwa mwendo wa nchi fanano na Tanzania kufikia viwango vya technology hiyo kama wenzetu wanaotumia leo siyo kizazi chako wewe ni kizazi cha mjukuu wako.
Kwa maneno mengine siyo wewe wala mwanao utakaemzaa atakaeshuhudia haya
ni kweli lkn inategemea na kazi mkuu, ila leo nimeona chatgpt kashinda kesi mahakamani against a human being!Hapana ni mda mchache sana Kwa sababu Zina operate kwenye internet..
Sijui unanielewa???Mimi sikatai hayo kuwepo nachosema mimi kwa Africa especially Tanzania hatujafika huko na hatufiki leo wala kesho.Kasikilize speech ya Jensen Huang CEO wa INVIDIA na Elon musk utaelewa zaidi Nini kinakuja kutokea
AI kwa AI au ni AI kwa binadamu??AI inafanya pia...
Ahsante kwa kunitoa hofuAmna pia ita zalisha ajira mpya ambazo hapo kabla hazikuwepo.. kama prompt engineers n.k
Ooh ni sawa kbs lkn Cha ZAIDI kujua AI ina operate kama software Kwa Hy implementation zake ni rahisi sana ukicompare na vitu hardware kama izo treni za umemeSijui unanielewa???Mimi sikatai hayo kuwepo nachosema mimi kwa Africa especially Tanzania hatujafika huko na hatufiki leo wala kesho.
Kwa kizazi chetu hiki na kinachofuata hakuna la kututisha ktk hii teknolojia ukitaka kunielewa kwa wepesi tizama sisi na sgr yetu na wazungu train mfano wa hii ya kwetu wenzetu wameacha kuita yenye kasi miaka zaidi ya thelathini nyuma sisi hapa ndiyo tunaiona ya kasi na umeme wenyewe mtihani.
Watu wa risk management iii Ina wahusu pia Kwa sababu AI ina uwezo wa ku analyze large volume of data to detect risk more quickly and accurate than traditional methods..Kwa hawa ndugu zetu Auditors na watu wa Risk Management haiwahusu hii sio?