Kazi zinazoenda kupotezwa kabisa na akili bandia (Artificial Intelligence) soon

Kazi zinazoenda kupotezwa kabisa na akili bandia (Artificial Intelligence) soon

Dawa ni kujufunza kuwa mbele ya wakati ni kusoma hizo course za AI na machine learning mapema kabisa,hasa kwa accountants, auditors,legal officers,land officers, financial traders and analysts na hata entrepreneurs,wahi sasa pale mjini udemy and coursera ukajipatie hizo course kwa Bei rahisi tu kati ya Dola 10 Hadi Dola 100 utakuja kunishukuru baadae.
 
Mahakama ilizindua matumizi ya akili bandia mahakamani lakini hadi leo hakuna utakelezaji.
Bado mahakimu wanaandika hukumu za kizungu badala ya kiswahili.
Tanzania bado tunasafari ndefu sana, kinacho semwa na kinacho fanyika ni tofauti kabisa.
Una jua AI imepata nguvu mwaka juzii TU ...na kadri siku Zinavo ongezeka Ina zaidi develop zaid (machine learning) ..
Kwa Hy iyo project tegemea kuiona Ina patanguvu tenaa..
 
Amna pia ita zalisha ajira mpya ambazo hapo kabla hazikuwepo.. kama prompt engineers n.k
Tena hiyo watu waanze kufanya kozi zake kama mtu uko smart unaweza Anza kufanya izo course pale udemy na coursera off course platforms zinazotoa prompt engineering ziko nyingi na hapo mtu anaweza akawa mbele ya muda sana tu,Mimi nimejionea kabisa ni rahisi kuunda vitu vingi kwa kutumia prompt engineering mfano nilijaribu kufanya financial report na nikaweza kuanzia kwa hiyo watu wa accounts na auditing na hata legal officers ni rahisi sana kufanya kazi hata za wateja 100 kwa siku moja tu ukiwa na elimu ya prompt engineering.
 
Back
Top Bottom