mke wangu alikuwa huko, nilimruhusu.
nayajua mabo ya ulabu na shangwe,
niko tayari kupokea kila picha mtakayo tuma, hata kama mmawatoto alisasambua, sitalaumu kwa kuwa niligoma kwenda.
party hiyo ilifanyika ljumaa kwenye ubalozi na makao makuu yao yaliyopo obay.
Maumiiivu tele moyoniiiiiii!!
Upi huo wenye ya pete ya ndoa aliyovalishwa na Magreth?Huo Mkono wa Sitta unaelekea wapi?
Duh mi huyo mama wa juu mwenye kigauni cheusi..uchokozi jamani utadhani mbuzi kagoma.Source: http://issamichuzi.blogspot.com/2010/02/kcb-wamwaga-heri-bomani.html#comments
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya KCB wakisakata muziki wakati wa hafla ya kumpongeza Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa benki ya KCB na mbunge wa kuteuliwa Janet Mbene kwa kuteuliwa kuwa mbunge na Mheshimiwa Rais,na kumwaaga rasmi aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo Heri Bomani , Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.
Kazi Kweli kweli . . . . bora mimi sijasema!
sasa mziki ndio wajikunje mkao wa kumegana?
Kwa Ruksa yako Mkuu . . . LOL
Hii picha sijaipenda hata kidogo huyu mama mtu mzima ndo nini kuvaa kiajabu ajabu namna hiyo ..vimiguu vibaya
Hii picha sijaipenda hata kidogo huyu mama mtu mzima ndo nini kuvaa kiajabu ajabu namna hiyo ..vimiguu vibaya