KCB sasa ina asset value ya ksh 1 trillion. ($10 billion)

KCB sasa ina asset value ya ksh 1 trillion. ($10 billion)

Na ndio hao wanaopata huduma ya Mpesa wanawahesabu, hakuna Bank yoyote ile duniani yenye wateja waliofungua account ambao ni 50% ya population ya nchi husika, kumbuka kwamba hapa Africa bado matumizi ya Bank yapo chini sana, sio zaidi ya 15%.

Kenya ni nchi yenye vituko vingi sana, 50% ya wakenya ni vijana chini ya miaka 24years old, 48% unemployed, 80% ni peasants wanaishi vijijini ambako huduma za Bank hazipatikani, hao 21M watatoka wapi?. Yale yale ya kusema kati ya wakenya 47M wanaotumia Internet ni 42M, wacheni ujinga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Usiwe na akili mgando kijana , behave Kama mtu ambae amefika skuli. Hao 21+ million Ni across the region including Tanzania. Safaricom ipo na over 30+ million subscribers Hawa siyo account holders wa kcb ,kumbuka before upate huduma za KCB Ina maana wewe ni mteja wao , kwani ukitumia mpesa kutuma au kutoa pesa kwa benki kwani utakua unatoa from which account Kama wewe siyo account holder wa kcb?.
 
By the way hujadanganya. Hawa wamepata kuwa Tony254 ndio the weakest spot kwa wakenya wote. Saa zingine huwa naona venye Geza anamgeuza hadi nione aibu. My brother Tony254 we need to talk[emoji23][emoji23][emoji23]
I was also very combative when I joined JF in 2017 but I decided to be myself. I am here to entertain myself not to fight with these people. Some of them are now my friends I even have whatsapp numbers of some of them and we do chat on whatsapp. They tell me the real truth in whatsapp. Here they are just pretending to be tough. For example, when internet was shut down after the election and they had to use VPN to access JF, they are the ones who told me about it in whatsapp. They are very honest there but here they are just putting a front to look tough. I Iook at them as my brothers. Another thing is that anytime they mention something negative about Kenya that is true, I will agree with the truth. I will not say "that is not true" just because they are talking about Kenya. On the other hand if they are wrong about something I will correct them.
 
Usiwe na akili mgando kijana , behave Kama mtu ambae amefika skuli. Hao 21+ million Ni across the region including Tanzania. Safaricom ipo na over 30+ million subscribers Hawa siyo account holders wa kcb ,kumbuka before upate huduma za KCB Ina maana wewe ni mteja wao , kwani ukitumia mpesa kutuma au kutoa pesa kwa benki kwani utakua unatoa from which account Kama wewe siyo account holder wa kcb?.
Tuambie Kenya proportion ya watu wenye accounts za Bank, haiwezi zidi 35%, then tuambie market share ya KCB huko Kenya. Kumbuka 90% ya wateja wa KCB wapo Kenya, huku Tanzania, Uganda, Rwanda na nchi zingine, Market shares za KCB ni less than 5% for each country.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
I was also very combative when I joined JF in 2017 but I decided to be myself. I am here to entertain myself not to fight with these people. Some of them are now my friends I even have whatsapp numbers of some of them and we do chat on whatsapp. They tell me the real truth in whatsapp. Here they are just pretending to be tough. For example, when internet was shut down after the election and they had to use VPN to access JF, they are the ones who told me about it in whatsapp. They are very honest there but here they are just putting a front to look tough. I Iook at them as my brothers. Another thing is that anytime they mention something negative about Kenya that is true, I will agree with the truth. I will not say "that is not true" just because they are talking about Kenya. On the other hand if they are wrong about something I will correct them.
Ok
 
It is not that I have changed. Mkiongea uongo huwa nawarekebisha.
Tatizo la wenzako ni kutetea kila kitu kinachofanyika Kenya hata kama ni upumbavu, wakati hadi viongozi wa Kenya wanakubali kwamba uchumi wa Kenya unaathiriwa sana na kukopa sana, bado hapa wanashupaza mishipa ya shingo kutetea kitendo cha Kenya kukopa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
I always thought Equity angefanikisha I think Inge make sense sana kwake kuliko KCB hasa kwa upande wa TZ
Equity iendelee na strategy ya kujipenyeza maeneo mengi ya Tzn maana naona imepokelewa kwa positive altitude kuliko KCB benki ya mabwenyenye na haina matawi kwenye miji miingi midogo ya Tzn kama Equity.Pia KCB inaonekana inalenga wafanyabiashara wakubwa na makampuni unlike Equity ambayo ni friendly kwa wadundulizaji.Mimi pia ni mteja wa Equity,mabenki ya kiccm ccm ya crdb na nmb huwa natumia kupitishia miamala ya salario tuu ila sifanyi nao biashara
 
Equity iendelee na strategy ya kujipenyeza maeneo mengi ya Tzn maana naona imepokelewa kwa positive altitude kuliko KCB benki ya mabwenyenye na haina matawi kwenye miji miingi midogo ya Tzn kama Equity.Pia KCB inaonekana inalenga wafanyabiashara wakubwa na makampuni unlike Equity ambayo ni friendly kwa wadundulizaji.Mimi pia ni mteja wa Equity,mabenki ya kiccm ccm ya crdb na nmb huwa natumia kupitishia miamala ya salario tuu ila sifanyi nao biashara
😄😄 Yeah I agree.
Nadhani Equity waliona strategy ya wenzao KCB wao wakaamua kuwa different na ndio inawaongezea market share daily. So hii dili ingekubali ingewaweka kwenye position nzuri zaidi.
 
Tuambie Kenya proportion ya watu wenye accounts za Bank, haiwezi zidi 35%, then tuambie market share ya KCB huko Kenya. Kumbuka 90% ya wateja wa KCB wapo Kenya, huku Tanzania, Uganda, Rwanda na nchi zingine, Market shares za KCB ni less than 5% for each country.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
KCB na equity Ni benk za mwana nchi wa kawaida ndio maana zinafanya vizuri, benki za matajiri Ni Barclays na standard chartered Bank ndio maana zinapitia wakati mugumu kupata wateja.
 
Equity iendelee na strategy ya kujipenyeza maeneo mengi ya Tzn maana naona imepokelewa kwa positive altitude kuliko KCB benki ya mabwenyenye na haina matawi kwenye miji miingi midogo ya Tzn kama Equity.Pia KCB inaonekana inalenga wafanyabiashara wakubwa na makampuni unlike Equity ambayo ni friendly kwa wadundulizaji.Mimi pia ni mteja wa Equity,mabenki ya kiccm ccm ya crdb na nmb huwa natumia kupitishia miamala ya salario tuu ila sifanyi nao biashara
Mabenki za maccm muziache.
 
Equity iendelee na strategy ya kujipenyeza maeneo mengi ya Tzn maana naona imepokelewa kwa positive altitude kuliko KCB benki ya mabwenyenye na haina matawi kwenye miji miingi midogo ya Tzn kama Equity.Pia KCB inaonekana inalenga wafanyabiashara wakubwa na makampuni unlike Equity ambayo ni friendly kwa wadundulizaji.Mimi pia ni mteja wa Equity,mabenki ya kiccm ccm ya crdb na nmb huwa natumia kupitishia miamala ya salario tuu ila sifanyi nao biashara
😄😄 Yeah I agree.
Nadhani Equity waliona strategy ya wenzao KCB wao wakaamua kuwa different na ndio inawaongezea market share daily. So hii dili ingekubali ingewaweka kwenye position nzuri zaidi.
Equity bank hata hapa Kenya wana customers wengi kushinda KCB. Equity ndio benki yenye customers wengi sana hapa Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla. Hii ni kwa sababu wao wanaokota kila mtu hata chokoraa anaweza kufungua account nao na wala hawabagui. Hawajali kama una hela ama huna.
joto la jiwe Kenya pia tuna benki ambayo inajali masikini na inaitwa Equity bank. Kwa hivyo wacha hio mentality kuwa benki za Kenya zinajali matajiri tu.
 
Equity bank hata hapa Kenya wana customers wengi kushinda KCB. Equity ndio benki yenye customers wengi sana hapa Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla. Hii ni kwa sababu wao wanaokota kila mtu hata chokoraa anaweza kufungua account nao na wala hawabagui. Hawajali kama una hela ama huna.
joto la jiwe Kenya pia tuna benki ambayo inajali masikini na inaitwa Equity bank. Kwa hivyo wacha hio mentality kuwa benki za Kenya zinajali matajiri tu.
If this is the case then inapendeza
 
I was also very combative when I joined JF in 2017 but I decided to be myself. I am here to entertain myself not to fight with these people. Some of them are now my friends I even have whatsapp numbers of some of them and we do chat on whatsapp. They tell me the real truth in whatsapp. Here they are just pretending to be tough. For example, when internet was shut down after the election and they had to use VPN to access JF, they are the ones who told me about it in whatsapp. They are very honest there but here they are just putting a front to look tough. I Iook at them as my brothers. Another thing is that anytime they mention something negative about Kenya that is true, I will agree with the truth. I will not say "that is not true" just because they are talking about Kenya. On the other hand if they are wrong about something I will correct them.

Ile team vp bro?
😋😋😋
 
Ile team vp bro?
😋😋
Team gani? Sina uhakika unazungumza kuhusu team gani. Unawezakuwa unanifananisha na mtu mwingine.
Pengine unazungumzia kuhusu team hii?


 
Back
Top Bottom