Hapana bwana, hao jamaa maharamia wa somalia hata viatu tu hawana, ile siku kdf walitoka kituko cha century baada ya kwenda na tanks pale garisa as if wanaenda battlefield. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Yeah
Hapi ongezea marekani, ufaransa ,uturuku, uchina
Tuko pale juu .....tunapigana vitani hatupasui matofali
And some how they are the fifth most deadly millitants in the worldHapana bwana, hao jamaa maharamia wa somalia hata viatu tu hawana, ile siku kdf walitoka kituko cha century baada ya kwenda na tanks pale garisa as if wanaenda battlefield. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Got that from one of their forums.ati Somalis pure bred and better than bantus??..sh#@$t..Where would those skinnies be at without Kenya??Here is one lady that appreciates that she is alive because her parents came to Kenya to such for BETTER LIFE
I willPost hii huko uone povu ikiwatoka Juakali1980
Vipi kuhusu kwenda na tanks garisaAnd some how they are the fifth most deadly millitants in the world
After
Isis
Alqaeda maghreb
Taliban
Boko haram
Alshabaab
Where is m23 on that list???
watu wamechanganyikana na raia bana siyo rahisi kupigana nao...simuwaambie wajitoe tuone nani ndo atakuwa mbabeMimi nachekaga sana napoona wale jamaa wanaovaa misuli na yeboyebo wanavyowazingua hao Jeshi chovu la kdff
Mkumbushe na kichapo walichopata wenzake na Bob Denar kule SeychellesHaya sii maneno ya kujivunia hata kidogo.
Tutajieni mafanikio yenu kijeshi.
Linganisha na hii hapa.
Tulimchapa Idd Amin.
Tuliirudisha madarakani serikali halali iliyopinduliwa na waasi visiwa vya Comoro.
Fanya research bhana...Jieleze
Baada ya wale mgambo kutimiza lengo laoπAnd recce ended that seige in 12mins.
Mpo vitani wapi? Mnawaibia tu wasomali mikaa yao bana acheni hizo,wao wanawaua nyinyi mnaiba mikaa, ndio kilichowapeleka huko? πHeri sisi tuko vitani hatupigani na matofali uwanjani Dar
Hapana bwana, hao jamaa maharamia wa somalia hata viatu tu hawana, ile siku kdf walitoka kituko cha century baada ya kwenda na tanks pale garisa as if wanaenda battlefield. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Lazima ushangae maana ni mwanaume aliyefundishwa ukakamavu tu ndio hawezi kushangaa jambo kama hilo. ndiomana mlikimbilia kutoa vifaru siku ile pale gallisa baada ya kusikia tu milio ya Ak47, tena kwa vijana sijui 5 tu wasiozidi hata miaka 30, aisee wanaume wa kenya waoga kinomaπMK!...Umenichekesha duuh!,......πππππ!.....WAPASUA MATOFALI KWA VICHWA!....πππ
JWTZ iende somali ikapambane na alshabab uone kama ndugu zako/jamaa zako watarudi salama, ndo utajua alshabab ni nani???Lazima ushangae maana ni mwanaume aliyefundishwa ukakamavu tu ndio hawezi kushangaa jambo kama hilo. ndiomana mlikimbilia kutoa vifaru siku ile pale gallisa baada ya kusikia tu milio ya Ak47, tena kwa vijana sijui 5 tu wasiozidi hata miaka 30, aisee wanaume wa kenya waoga kinomaπ
Kuna civilian version na military grade. Anyway kama raia wa kawaida wanatumia huko marekani nendeni pia nyinyi kama nchi mkamununue.
Yeah kama unadhani vita baina ya nchi UN na media zitakuwa hapo kama marefari ndio mtajuta sai somalia hatuwezi fanya chochote bila UN kusema .....lakini vita baina ya nchi ni wanainchi watasema kitakacho fanywa hzo silaha ndio mtajua vile zina fanya kaziView attachment 416368View attachment 416369View attachment 416370