KDF in Mozambique

Hamieni Asia basi tuone kama hizo bidhaa hazitapita.
Na ujue hapa Kenya hakuna chakula kinachoitwa Tanzania. Fungeni mpaka.
 
Ndege za KDF ndio zinazopeleka maua na minofu ya samaki Ulaya?, ama kweli kuwa chizi sio lazima uokote makopo. Tunazungumzia KDF waliopo Mozambique, acha kuparamia story kwa mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app

KDF wanatumia ndege za Tanzania au za UK? au manowari/meli za Ulaya kwenda Msumbiji? Kenya Defense Forces husafiri kwenda Msumbiji using their own transport facilities and not restricted to KDF aircrafts only but also Kenya commercial transport media! Au wanaruka na magwanda ya kijeshi yenye mabawa(wings)?Use common sense please!
 
Hahahahaha, wewe chizi, jeshi linajitegemea, ukisikia JWTZ, au KDF wanatoa msaada, wanatumia usafiri wao, iwe ni air, road au sea, hawatumii civilian means of transportation, wapi umesikua au umeona jeshi linatumia MAGARI au ndege za kiraia kupeleka misaada hapa duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tehe tehe the,wakija All shabab utaona wanavyopata tabu
 
Eti nyinyi ndo mlianzisha FRELIMO, pwahahaha .... Hizi ni hadhithi za abunuasi. nje ya Tz story ni tofauti.... Lakini endelea kujipigia gitaa ! Ha!
We punguani kweli
Kwa taarifa yako harakati za kuikomboa msumbiji walikuwa wanazifanyia tanzania!
Hivi mondlane aliuliwa nairobi kenya ehhhh...
Nijibu ????

Tanzania ni baba yenu na walezi zenu wote hao m7,kabila etc tanzania ndy ilikuwa base yao .....

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alshabab wazidi tu kuwatafuna marinda yenu...naona bado ubongo zenu hazijaka Sawa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TPDF ni jeshi la kubangua korosho, hamna kitu cha maana wanaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…