ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,939
Wiki mbili zipi hzo[emoji23][emoji23]Ninyi wakenya hampungukiwi na visingizio vya kushindwa kwenu, hawa magaidi walipoingia na kuua watanzania mlisema hatutoweza kuwatokomeza, mlisema jeshi letu halina uwezo wa kupigana vita vya ugaidi, tumewashinda ndani ya wiki mbili hamkuamini mkasema watarudi tena, sasa lugha imebadilika mnasema ni watoto wadogo.
Kwahiyo Kenya kushindwa kupambana na ujambazi/crime ndani ya nchi, rushwa, kuzuia kuenea kwa silaha za kivita miongoni mwa jamii za wafugaji, kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha, vyote hivyo utatoa sababu gani?
TPDF imeshinda vita vyote ilivyopigana, kuanzia ukombozi kusini mwa Africa, Idd Amin, Comorro, DRC, M23, Liberia, Seychelles na sasa hivi Ugaidi huko Msumbiji, kote huko utatoa sababu gani?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Unaongea kw mihemko sana walai[emoji23][emoji23]KDF kila siku wanatiwa vidole na Alshabaab na hamna la kuwafanya. KDF hawawezi pigana hata na Burundi, the weakest army in the region
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Za KDF kutiwa madole na AlshabaabWiki mbili zipi hzo[emoji23][emoji23]
Hakuna lolote mlilofanya
Yaonyesha hyo sector uko vizuri mkuuAisee Kenya wana Puma na Bastion. Bado wanaongeza hizi kazi ya Mturuki ambazo zinakuwa zikifanya patrol mpakani mwa Syria na vilevile Libya na Azerbaijan. Basi APC fleet yao iko vizuri sana
Uliza magaidi Mozambique na M23 watakuambia ukweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna lolote mlilofanya
Mdomo tu
Kama nipo sahihi ulikuwa 1982 jeshi la Kenya lilijaribu kumpindua Rais Moi,ajabu ikatokea jeshi lilithibitiwa na polisi!mavifaa yote yalishindwa mbele G3 tu.bro it is better upunguze ujuaji.
ujuaji ndio cancer inaumiza wakenya miaka yote,hii gari haina chochote cha kufanya na magaidi.itabakia kiwa gari nzuri ya kupigia picha za kiaskari nothing else.wale jamaa wanafanya cross multiplication wakiona mnasogea zaidi kwao,wanakuja kenya wanaua raia wa kawaida kabisa.
wakati kdf wako somalia ndani ya hizo APC wanapiga selfie.
Hakuna wivu kwa lipi hapo?hatukuwa na wivu mlipotangza mlima Kilimanjaro upo kwenu iwe hii.hatuna adui ndani au nje ya mipaka.hatupendi serikali ifanye manunuzi yasiyoyalazima.Wivu unawatafuna wadanganyika hahahahahah.
[emoji38][emoji38]imagine.Kama nipo sahihi ulikuwa 1982 jeshi la Kenya lilijaribu kumpindua Rais Moi,ajabu ikatokea jeshi lilithibitiwa na polisi!mavifaa yote yalishindwa mbele G3 tu.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wamenambia wamechinja watu na bado wandunda hko msumbiji[emoji23][emoji23]Uliza magaidi Mozambique na M23 watakuambia ukweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
msumbiji pia ina jeshi.Wamenambia wamechinja watu na bado wandunda hko msumbiji[emoji23][emoji23]
M23 bado wanaendelea kunoa mapanga yao wakiwasubiria
Ndio interest zangu mkuu ingawa siko na sina mpango wa kuwa jeshiniYaonyesha hyo sector uko vizuri mkuu
Uongo. Kama hujui kitu funga mkund*. Jeshi lilidhibitiwa na jeshi. Vijana wachache wa Kenya airforce waliokuwa wamepanga kupindua serikali walidhibitiwa na jeshi la ardhi yaani army. Sio polisi kama unavyodanganya watu.Kama nipo sahihi ulikuwa 1982 jeshi la Kenya lilijaribu kumpindua Rais Moi,ajabu ikatokea jeshi lilithibitiwa na polisi!mavifaa yote yalishindwa mbele G3 tu.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38]imagine
Km ni waume si wakapigane na vikosi vyetu, na bado kisha special forces wataendelea kuwafinya pumbu zaobro it is better upunguze ujuaji.
ujuaji ndio cancer inaumiza wakenya miaka yote,hii gari haina chochote cha kufanya na magaidi.itabakia kiwa gari nzuri ya kupigia picha za kiaskari nothing else.wale jamaa wanafanya cross multiplication wakiona mnasogea zaidi kwao,wanakuja kenya wanaua raia wa kawaida kabisa.
wakati kdf wako somalia ndani ya hizo APC wanapiga selfie.
Mi ndio sina hamu kabisaNdio interest zangu mkuu ingawa siko na sina mpango wa kuwa jeshini
Habari katoa vijiweni[emoji23][emoji23]Uongo. Kama hujui kitu funga mkund*. Jeshi lilidhibitiwa na jeshi. Vijana wachache wa Kenya airforce waliokuwa wamepanga kupindua serikali walidhibitiwa na jeshi la ardhi yaani army. Sio polisi kama unavyodanganya watu.