ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,939
Swali.
Mlivyo kuwa mna nunua APC zingine upto 2019, Al shaabab walikuwa hawatumii IED?
Yaani as recent as 2019 mmenunua APCs leo mnasema eti mna nunua zingine kwa sababu ya IED, as if kulikuwa hakuna IED before.
Mi naona hapo ni chaka lingine la kuiba hela.
And where are the funds coming from? Please tell me its not another loan.
Mlivyo kuwa mna nunua APC zingine upto 2019, Al shaabab walikuwa hawatumii IED?
Yaani as recent as 2019 mmenunua APCs leo mnasema eti mna nunua zingine kwa sababu ya IED, as if kulikuwa hakuna IED before.
Mi naona hapo ni chaka lingine la kuiba hela.
And where are the funds coming from? Please tell me its not another loan.