MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Moja ya kitu kinachoturudisha nyuma ni kupuuza historia. Historia ni mwalimu mzuri unapokuwa katika tafakari ya wapi unaelekea.
Nafahamu humu wapo wakongwe waliofuatilia soka muda mrefu wanaweza kusaidia.
Nchi hii hatua yoyote kubwa tuliyopiga kwenye michuano mikubwa ya soka ilifanikishwa kwa mara ya kwanza na makocha wazawa!
Timu ya Taifa ya Tanzania ilifuzu na kushiriki michuano ya kombe la mataifa ya Afrika mwaka 1980 chini ya kocha mzawa Joel Bendera.
Simba Sports Club ilifika fainali Kombe la CAF chini ya kocha mzawa King Kibaden Mputa!
Makombe ya timu ya Taifa kwenye michuano ya CECAFA yaliletwa na makocha wazawa!
Inawezekana supercoach Juma Mgunda asifanikiwe kuweka historia kubwa kama wenzake lakini makocha wazawa nchi hii tusiwapuuze! Historia ipo upande wao! Wazungu hawajawahi leta mafanikio yoyote.
Juma Mgunda asipuuzwe! Tunza ujumbe huu....
#nguvumoja
Moja ya kitu kinachoturudisha nyuma ni kupuuza historia. Historia ni mwalimu mzuri unapokuwa katika tafakari ya wapi unaelekea.
Nafahamu humu wapo wakongwe waliofuatilia soka muda mrefu wanaweza kusaidia.
Nchi hii hatua yoyote kubwa tuliyopiga kwenye michuano mikubwa ya soka ilifanikishwa kwa mara ya kwanza na makocha wazawa!
Timu ya Taifa ya Tanzania ilifuzu na kushiriki michuano ya kombe la mataifa ya Afrika mwaka 1980 chini ya kocha mzawa Joel Bendera.
Simba Sports Club ilifika fainali Kombe la CAF chini ya kocha mzawa King Kibaden Mputa!
Makombe ya timu ya Taifa kwenye michuano ya CECAFA yaliletwa na makocha wazawa!
Inawezekana supercoach Juma Mgunda asifanikiwe kuweka historia kubwa kama wenzake lakini makocha wazawa nchi hii tusiwapuuze! Historia ipo upande wao! Wazungu hawajawahi leta mafanikio yoyote.
Juma Mgunda asipuuzwe! Tunza ujumbe huu....
#nguvumoja