Keep your Personal Life Private

Keep your Personal Life Private

Kuna faida gani unapata kwa kufanya hivyo???

Hasara ni nyingi ila chache ni kama hizi.
1. Mwenye maendeleo huwa na maadui wasio na sababu.
2. Chuki, husuda na vijicho ambavyo huenda vikakuathiri au la.
Ili kuepuka Shari za namna hiyo ni bora kutojiweka mitandaoni
Asante mkuu kwa ushauri...
Ila pia sio vzr kuishi maisha yako huku ukijali sana ya watu hutafurahia lolote uliloli achive...
 
Mtoa mada big up Sana

Ila nilitaka kutuma picha uzi selfie na ule wa mikato mikali ya viatu ngoja nikaushe tu 😅
 
Yanikute manini? Ni uoga tuu..yani niache kujitupia status kisa naogopa kulogwa..kuna ishu sema ni private sana labda mipango yangu n.k ila nimekaa kwny ndinga au nipo hotel nzuri niogope kuweka kwny status yangu...
Hapo unakuta kakuomba mtu umkope hela ukamwambia huna ghafla unapost upo hotel amazing


Ama naona umepost upo hoteli ya kitalii halafu kesho unanipigia simu nikukopeshe
 
Keep Your Personal Life Private.

1. Don't advertise your happy marriage on social media

2. Don't advertise your kids achievements on Social media

3. Don't advertise your expensive buys on social media Reality is...

1. Not everyone is going to be happy for you

2. Most of the "Nice" comments you get are just fake

3. You will only attract the evil eye on you and your family

4. You are attracting jealous people in your life

5. You don't know who is saving your pictures and checking your updates

6. You really need to stop this because it may ruin your life, family, marriage and career.

Social Media is the devils eyes, ears and mouth, don't fall in to the devils trap. Let your private life remain private.
Sasa Bwana mwingereza social media zilitengenezwa kwa ajili ya nini? Wewe unadhani unaweza kukwepa watu wenye wivu, hila, husuda, fitina, chuki, hasira, kwa kukwepa mitandao ya kijamii? Facebook & Instagram ni kwa ajili ya mapichapicha to keep memories za matukio mbalimbali ya mtu husika. Zamani tulikuwa tunatumia album za picha za makaratasi. Technological imebadilika hatutumii tena hayo bali kwa camera za simu matukio mengi ya binafsi, familia, jamii nk, watu wanayahifadhi kwenye mitandao. Hiyo mitandao imeweka mbadala (option) ya kama picha zako unataka zisionekane na mtu yeyote (private), au unachagua watu fulani ndo wazione (friends), au unaziweka kwa umma (public). Sasa ni wewe kuchagua. Sasa haya mambo ya kuwatia watu hofu wasijinafasi kwa starehe zao eti unaogopa shetani asifuatilie maisha yako ni ushamba! Cha msingi kuwa makini na kile unachokipost kwenye mtandao na weka mipaka ya aina ya watu wa kusocialise (interact) nao vinginevyo utajifanya unajua kumbe hujui!
 
Keep Your Personal Life Private.

1. Don't advertise your happy marriage on social media

2. Don't advertise your kids achievements on Social media

3. Don't advertise your expensive buys on social media Reality is...

1. Not everyone is going to be happy for you

2. Most of the "Nice" comments you get are just fake

3. You will only attract the evil eye on you and your family

4. You are attracting jealous people in your life

5. You don't know who is saving your pictures and checking your updates

6. You really need to stop this because it may ruin your life, family, marriage and career.

Social Media is the devils eyes, ears and mouth, don't fall in to the devils trap. Let your private life remain private.
sasa kiongozi tunatafsiri kwa ada hiihii ngama ya mzazi au unatuma mpesa?
 
Keep Your Personal Life Private.

1. Don't advertise your happy marriage on social media

2. Don't advertise your kids achievements on Social media

3. Don't advertise your expensive buys on social media Reality is...

1. Not everyone is going to be happy for you

2. Most of the "Nice" comments you get are just fake

3. You will only attract the evil eye on you and your family

4. You are attracting jealous people in your life

5. You don't know who is saving your pictures and checking your updates

6. You really need to stop this because it may ruin your life, family, marriage and career.

Social Media is the devils eyes, ears and mouth, don't fall in to the devils trap. Let your private life remain private.
Sure
 
Na mjali nani sasa?
Wacha husda ziwauwe,
Mfano nimenunua gari natamani nichomoe hadi milango walimwengu wanione nimekaaje..afu we unaweka tinted [emoji38], maisha ni show off.
Kitu ambacho siwezi weka wazi ni mipango yang tu ambayo haijakamilika.
 
Keep Your Personal Life Private.

1. Don't advertise your happy marriage on social media

2. Don't advertise your kids achievements on Social media

3. Don't advertise your expensive buys on social media Reality is...

1. Not everyone is going to be happy for you

2. Most of the "Nice" comments you get are just fake

3. You will only attract the evil eye on you and your family

4. You are attracting jealous people in your life

5. You don't know who is saving your pictures and checking your updates

6. You really need to stop this because it may ruin your life, family, marriage and career.

Social Media is the devils eyes, ears and mouth, don't fall in to the devils trap. Let your private life remain private.
Ukianika maisha Yako mtandaoni inabidi uwe na nguvu ya ziada......
 
3. You will only attract the evil eye on you and your family
Does the evil eye steal money from bank account? Does It demolish the well finished and fully furnished house? Let people brag for their achievements as the way of expressing their Joy.
 
Back
Top Bottom