Keith Sweat Vs R Kelly

Keith Sweat Vs R Kelly

We ndo hujui muziki mjomba, R kelly ni legendary wa R&B kwa level yako ya kuufahamu muziki but in real sense ni Keith Sweat legendary zaidi ingawa pia R Kelly ana hit nyingi na aneouga collabo na stars kibao kunogesha hits zake ktk variety ya radha.

Keith sweat ni level za kina Gerald levert, Johnny Gill, Alexender O'neal, Bob Brown, James Ingram, Nu shoes, total contrast, Abraham Colonies and the like ambao wanahit nzuri chache chache ingawa ni hits zao ni nzur japo chache....!!

Kimziki bado naamini walioweza kuwa bora 80's they will remain Dope classic ever!! Muziki wao upo na true Rhythm!! Coz R&B nyingi za 90's zimebeba vionjo vya 80's!!
Well said brother na mimi nashangaa kwa nini watu wanamchukulia poa sana Keith Sweat. Nimependa hiyo list iliyoitoa hapo juu umenikumbusha nguli Bobby Brown huyu jamaa alitisha sana enzi hizo ila umemsahau Luther Vandross
 
Huyo keith sweat ndio namsikia leo mkuu

Halafu uache kumlinganisha RnB Legendary R. Kelly aka Kwaya masta na wasanii wa ajabu ajabu wasiojulikana

R kelly is the best

ila kama unaifuatilia RnB kama haumjui Keith Sweat, kuna mahali una serious serious problem
 
"...You know you are my lover, You got me twisted over you ..."
Bonge la ngoma by the genius himself,
Keith Sweat - Twisted
R Kelly nae ni noma
 
Well said brother na mimi nashangaa kwa nini watu wanamchukulia poa sana Keith Sweat. Nimependa hiyo list iliyoitoa hapo juu umenikumbusha nguli Bobby Brown huyu jamaa alitisha sana enzi hizo ila umemsahau Luther Vandross
"Cruel" ya Bobby Brown ni noma ... Luther Vandross nae ngoma naikubali ni "Dancing With My Father" au cover yake na Mariah Carey ya "Endless Love" (In my point of view) ni bora kuliko original ya Lionel Richie na Diana Ross.
 
"Cruel" ya Bobby Brown ni noma ... Luther Vandross nae ngoma naikubali ni "Dancing With My Father" au cover yake na Mariah Carey ya "Endless Love" (In my point of view) ni bora kuliko original ya Lionel Richie na Diana Ross.
Du umenikumbusha Lionel RICHIE pia. Great Mention
 
  • Thanks
Reactions: YGM
Binafsi nimefahamu r.Kelly kabla ya Keith sweat, na ulikuwa huniambii kitu kwa r.Kelly. lakini kwasasa r.Kelly hamfikii Keith sweat hata robot toka nimjue kwa kweli Keith sweat nyimbo Ake zina hisia za kimahaba hasa maneno hata midundo yaani ni slow jam ya hatari. Na sasa keith sweat amerudi kwenye game ana nyimbo kama better love,get in,close yaani maneno ya nyimbo za Keith sweat hata kama umegombana na demu lazima akusamehe
 
Mpaka leo sijaona mwanamusic solo artist wa rbn mkali kama Rkelly na Joe Thomas, kwa upande wa group kwangu mimi ni Boys 2 men
Umemaliza....... Nakuunga mkono asilimia zote.
 
Joe Thomas alitikisa pia miaka ya 90s, hawa watu wamepotea kabisa
Actually na miaka ya 2000 hadi sasa bado anatoa nyimbo ingawa ndio hivi media zimeshikwa na watu useless
 
Gerald levert alikua namba ingine plus sauti yake haijawahi tokea hiyo sauti ya simba
We ndo hujui muziki mjomba, R kelly ni legendary wa R&B kwa level yako ya kuufahamu muziki but in real sense ni Keith Sweat legendary zaidi ingawa pia R Kelly ana hit nyingi na aneouga collabo na stars kibao kunogesha hits zake ktk variety ya radha.

Keith sweat ni level za kina Gerald levert, Johnny Gill, Alexender O'neal, Bob Brown, James Ingram, Nu shoes, total contrast, Abraham Colonies and the like ambao wanahit nzuri chache chache ingawa ni hits zao ni nzur japo chache....!!

Kimziki bado naamini walioweza kuwa bora 80's they will remain Dope classic ever!! Muziki wao upo na true Rhythm!! Coz R&B nyingi za 90's zimebeba vionjo vya 80's!!
 
R.KELLY ni mkali bali KWANGU mimi KEITH SWEET ni MKALI ZAIDI....wimbo wake I'M NOT READY unaishi kila saa kwa kweli.
 
Back
Top Bottom