Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo yasikie kwa mwenzako lakini yanaharibu sana maisha ya watu aiseeh, kuna watu dunia hii hawana utu hata kidogo. Nimependa jamaa alivyoondoka, bila kupigana wala kudaiana chochote, mwanaume unatakiwa uwe na kifua kweli kweli kuliko kufanya mauaji ambayo yangekutesa mpaka sasa.Endelea basi
Wengine huwa tunafurahia kusoma maswahibu ya watu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuhusu maisha yake kwasasa mi sjui Kwa kweli bt uhakika WA kuishi anao maana ni mwalimu degree holder.Natamani kujua maisha yake ya sasa yako vipi ? Na mtoto je?
Hapana Mkuu uwe na Amani nadhani bnafsi nmejipa subra na muda Tu Yule ni mtoto wangu tampata Tu anafanana na Mimi copyright halafu anafanana na wadogo zangu wote kama amezaliwa nao tumbo mojaNitumie namba yake ili nifuatilie maisha ya mtoto [emoji848]
Hapana Mkuu uwe na Amani nadhani bnafsi nmejipa subra na muda Tu Yule ni mtoto wangu tampata Tu anafanana na Mimi copyright halafu anafanana na wadogo zangu wote kama amezaliwa nao tumbo moja
Yaap ndo leNgO LakE alitegemea kupitia mtoto nisingeliweza kutomtafuta kwasababu ya mtoto ngoja taleta kisa muone anavyopambana kupata mawasiliano yangu pia Kwa Gia ya mtotowanawake wakorofi,utumia kinga ya mtoto pale mambo yakiwa mabaya.
kama ulijiongeza asante
Yaap ndo leNgO LakE alitegemea kupitia mtoto nisingeliweza kutomtafuta kwasababu ya mtoto ngoja taleta kisa muone anavyopambana kupata mawasiliano yangu pia Kwa Gia ya mtoto