KERO Kelele usiku kucha Mbweni Mpiji-Ungindoni sababu ya vigodoro na pub tumezichoka, tumeripoti serikali za mtaa lakini kazi bure

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mbweni ushuwani hakuna mambo haya...
Ukitaka kujenga au kufanya makazi inataka uangalifu sana

Ova
Na kweli
Ila mkuu kwanini suala la kelele hawalitilii maanani sana serikalini? Imekuwa kawaida sana

Ila umenifundisha kitu
 
Huwez kuja mgeni ukabadili mtindo wa watu kuishi kwasababu huupendi. Ndio maana manzese huko wazaramo ngoma kila siku na hakuna anaewagusa. Hiv kwa mfano ukiona pale kkoo watu wamefunga barabara wana sherehe yao utasema wanazuia watu kupita? Kuna maeneo serikali inakaa kimya sio kwasababu inakubaliana na watu ila kwasababu kuna kukubali kwa kutokukubaliana.
 
Njoo kiembeni huku mkuu mbele mbele kwa manyama unapita mbeeele huku
 
jisogeze mbweni teta mkuu uko mpiji ni changanyikeni hao wa swahili wata kuroga tu ukifanya move kuwashitaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…