Kelele za mafuta zingeelekezwa kwenye kilimo ningeelewa vingenevyo wote tuna tatizo la uono mfupi (myopic)

Kelele za mafuta zingeelekezwa kwenye kilimo ningeelewa vingenevyo wote tuna tatizo la uono mfupi (myopic)

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Wakulima msimu huu wameteseka sana na mvua isiyo na uhakika, watapata hasara kubwa sana.

Si Bunge, wanaharakati wala wasomi waliojitokeza kulisemea hili. Wote wanajua kabisa chakula chetu kinatokana na kilimo. Leo mafuta yanatupigiza kelele kana kwamba yakikosekana tunakufa.

TUNAKWAMA WAPI? Kwenye hili la mafuta; sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka na namna tunavyofikiri- kimsingi inaonyesha hatufikiri ila TUNAWAZA TU
 
Wakulima msimu huu wameteseka sana na mvua isiyo na uhakika, watapata hasara kubwa sana.

Si Bunge, wanaharakati wala wasomi waliojitokeza kulisemea hili. Wote wanajua kabisa chakula chetu kinatokana na kilimo. Leo mafuta yanatupigiza kelele kana kwamba yakikosekana tunakufa.

TUNAKWAMA WAPI? Kwenye hili la mafuta; sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka na namna tunavyofikiri- kimsingi inaonyesha hatufikiri ila TUNAWAZA TU
Kilimo nini kifanyike kujinasua?
 
Wakulima msimu huu wameteseka sana na mvua isiyo na uhakika, watapata hasara kubwa sana.

Si Bunge, wanaharakati wala wasomi waliojitokeza kulisemea hili. Wote wanajua kabisa chakula chetu kinatokana na kilimo. Leo mafuta yanatupigiza kelele kana kwamba yakikosekana tunakufa.

TUNAKWAMA WAPI? Kwenye hili la mafuta; sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka na namna tunavyofikiri- kimsingi inaonyesha hatufikiri ila TUNAWAZA TU
... Serikali sikivu ya CCM italifanyia kazi; michakato ilishaanza zamani za kale toka enzi za kilimo kwanza na big results now! Usiwe na wasiwasi.
 
Wanaongelea mafuta ya petrol na disel kama vile ya kupikia na ngano hazijapanda bei
 
Kilimo nini kifanyike ujinasua?
... kaulimbiu ya Kilimo Kwanza na Big Results Now zifufuliwe zitasaidia sana kuboost kilimo chetu! Baada ya hapo ifufuliwe Serikali ya Viwanda tutafikia level South Korea! Akili zile zile zilizosababisha matatizo yale yale utegemee zitayatatua!
 
... kaulimbiu ya Kilimo Kwanza na Big Results Now zifufuliwe zitasaidia sana kuboost kilimo chetu! Baada ya hapo ifufuliwe Serikali ya Viwanda tutafikia level South Korea! Akili zile zile zilizosababisha matatizo yale yale utegemee zitayatatua!
Kama hata tulishindwa kujua umuhimu wa maafisa kilimo na wataalamu wa kilimo ndio mchawi wetu,licha ya uwekezaji kwenye kilimo chenyewe.
 
Moja ya ufumbuzi wa mvua zisizoaminika ni kilimo cha umwagiliaji. Wakulima wengi makini sasa hivi wanatumia water [emoji97] pump kumwagilia mashamba yao pale wanapoona mvua inazingua. Nikuulize sasa je unajua hizi water pump zinatumia nini ili waweze kumwagilia?? Zinatumia mchemsho au supu ya kongoro siyo??
 
Wakulima msimu huu wameteseka sana na mvua isiyo na uhakika, watapata hasara kubwa sana.

Si Bunge, wanaharakati wala wasomi waliojitokeza kulisemea hili. Wote wanajua kabisa chakula chetu kinatokana na kilimo. Leo mafuta yanatupigiza kelele kana kwamba yakikosekana tunakufa.

TUNAKWAMA WAPI? Kwenye hili la mafuta; sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka na namna tunavyofikiri- kimsingi inaonyesha hatufikiri ila TUNAWAZA TU
Bila petrol/diesel hizo pembejeo zingepelekwa na punda huko mikoani?
Miaka 60 ya serikali ya ccm kilimo chetu bado tunategemea mvua na huku mito na mabwaya nchi nzima yamejaa maji!!
Nchi imekosa uongozi wenye maono!
 
Bila petrol/diesel hizo pembejeo zingepelekwa na punda huko mikoani?
Miaka 60 ya serikali ya ccm kilimo chetu bado tunategemea mvua na huku mito na mabwaya nchi nzima yamejaa maji!!
Nchi imekosa uongozi wenye maono!
Akili yako imeishia hapo? dalili za kukosa akili ni kulaumu
 
Moja ya ufumbuzi wa mvua zisizoaminika ni kilimo cha umwagiliaji. Wakulima wengi makini sasa hivi wanatumia water [emoji97] pump kumwagilia mashamba yao pale wanapoona mvua inazingua. Nikuulize sasa je unajua hizi water pump zinatumia nini ili waweze kumwagilia?? Zinatumia mchemsho au supu ya kongoro siyo??
wakulima wapi wanatumia water pump? unaleta habari za darasani mkuu
 
Wakulima msimu huu wameteseka sana na mvua isiyo na uhakika, watapata hasara kubwa sana.

Si Bunge, wanaharakati wala wasomi waliojitokeza kulisemea hili. Wote wanajua kabisa chakula chetu kinatokana na kilimo. Leo mafuta yanatupigiza kelele kana kwamba yakikosekana tunakufa.

TUNAKWAMA WAPI? Kwenye hili la mafuta; sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka na namna tunavyofikiri- kimsingi inaonyesha hatufikiri ila TUNAWAZA TU
Ili huyo mkulima apate mazao inabidi apelekewe mbolea pamoja na pembeheo nyingine , ili apate faida inabidi mazao yasafirishwe huko yanapopatikana kuelekea sokoni
Haya yote ni maongezi ya MAFUTA
 
Wakulima msimu huu wameteseka sana na mvua isiyo na uhakika, watapata hasara kubwa sana.

Si Bunge, wanaharakati wala wasomi waliojitokeza kulisemea hili. Wote wanajua kabisa chakula chetu kinatokana na kilimo. Leo mafuta yanatupigiza kelele kana kwamba yakikosekana tunakufa.

TUNAKWAMA WAPI? Kwenye hili la mafuta; sina mashaka na uwezo wetu wa kufikiri ila nina mashaka na namna tunavyofikiri- kimsingi inaonyesha hatufikiri ila TUNAWAZA TU
MAFUTA ndio kila kitu hata hicho Kilimo kinategemea mafuta

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama hakuna mafuta hicho Kilimo kitawezekana vipi ?
 
Akili yako imeishia hapo? dalili za kukosa akili ni kulaumu
Hizo sio lawama ni maswali magumu ambayo wewe na watu wa aina yako mnashindwa kuyajibu ndio maana mnafikiri ni lawama!
Akili zenu ni fupi!
 
Sasa kama hakuna mafuta hicho Kilimo kitawezekana vipi ?
Mimi na familia yangu hatuihitaji mafuta kulima- tunalima tu; tunavuna na kupika siku inaisha; siku ya gulio tunaenda Katerero kubadilishana bidhaa
 
Kilimo ni Jambo la dahar na dahar na halijawahi kuwekwa sawa..na hivi vilimo vya kisasa wanavyolima wenyewe ndio vimetilinga sama wakulima wa hali ya chini kwa hiyo acha tupige kelele na hili lililo usoni kwa Sasa.
 
Back
Top Bottom