Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Mimi na familia yangu hatuihitaji mafuta kulima- tunalima tu; tunavuna na kupika siku inaisha; siku ya gulio tunaenda Katerero kubadilishana bidhaa
Inategemea lengo la kilimo chako ni lipi, kama ni kulima na kula labda hapo sawa, lkn kama Kilimo kama biashara bila mafuta haiwezekani kwa Dunia ya leo!