Kazi gani ambayo wewe muajiri mwanamchi ulitaka makamu aifanye na haijafanyika mpaka sasa kwa kuwa hakuwepo ?Ameajiliwana kulipwa na walipa kodi. yaani wewe binafsi, umlipe mtu halafu asionekane kazini na ukae kimya tu, labda kama una fedha za kumwaga bila ufuatiliaji ndio utaeleweka
Nani amuamini mpaka piko rejea aliposema Magufuli anakata mitaa kumbe jamaa kameza ulimi.Waziri Mkuu ALIWAAMBIA yupo kikazi na ni mzima wa afya
ndugu, wewe una quote maneno yangu, halafu humo humo unataja Chadema... nani kasema kwamba mimi ni mmojawapo wa Chadema? kwa nini usijibu tu bila kutoa maneno hayo ya kujinyea au umezoe kujinyesha na unafikiri kila mtu ndio shughuli yake hiyo? Huyo PM mwenyewe anajulikana kwa Uongo... kumbuka ile ile kauli yake ya Magufuli yupo anachapa kana na anawasalimia na haijawahi hata kuombewa msahama wa uongo, kwa maana hiyo PM hawezi kuwa credible source tangia pale apolidaganya taifa...Waziri Mkuu ALIWAAMBIA yupo kikazi na ni mzima wa afya
Yeye Leo kaja kawaambia alikua nje kikazi Bado mnaendelea kukaza shingo
Sio Kila jambo au Kazi anayofanya Kiongozi wa Juu utangazwa
Basi alikua World bank kwenye sera
( Chadema yanajinyea) , (Chadema ni mbumbumbu)
Walipoficha alipo/hali ya mwenda zake walifaidika niniJe unadhani bila wananchi kumuulixia angrlitokomea mazima asingeonekana tena milele ?
Unadhani kuwaficha wanamchi alipo makamu wa raisi serikali inafaidika vipi na jambo hilo ?
majukumu ya kazi ya mwakamu wa Raisi yapo kikatiba, lakini huko Qatar leo /jana katumwa yule wa nchi Jilani maana yake hakuweza kutimiza majukumu yakeKazi gani ambayo wewe muajiri mwanamchi ulitaka makamu aifanye na haijafanyika mpaka sasa kwa kuwa hakuwepo ?
Wewe ndio unatakiwa uthibitishe kwamba walifaidika na jambo hilo na sio wao.Walipoficha alipo/hali ya mwenda zake walifaidika nini
Bila kelele tusingenpataMakam wa Rais amejitokeza adharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.
Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.
Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?
Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?
HahahaNani amuamini mpaka piko rejea aliposema Magufuli anakata mitaa kumbe jamaa kameza ulimi.
CHADEMA tutaendelea kuwaamsha Wananchi Daima mbele UONGO kwetu mwiko.
Bado haujaweka hoja ya msingi ya kusimamia mkuu.huko Qatar leo /jana katumwa yule wa nchi Jilani maana yake hakuweza kutimiza majukumu yake
Je wewe kwa akili zako unadhani bila watu kumuulizia asingeonekana tena milele ?Bila kelele tusingenpata
WAFU wanajuaWee amekaa nje ya nchi kwa takribani mwaka mmoja? Nilikua wapi mimi!!
Hakuwa AWOL, alikuwa AWL.Ukishakuwa kiongozi ishu ya AWOL lazima ilete maswali mengi kuliko majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja ya Msingi ni kwamba akisafiri Raisi ( Mfanyakazi wa Umma) huwa tunatangaziwa, mbona hili la Mpango ni kizumguti? kazi gani maalum hiyo aliyokuwa anafanya kisilisili na yeye ni number 2?Bado haujaweka hoja ya msingi ya kusimamia mkuu.
Bado hsujajua unasimama wapi kati ya
kutoonekana makamu wa raisi
Au kumuwakikisha kiongozi mwingine kama mbadala wake ?
Maan zipo shughuli mbalimbali raisi huwa anawakilishwa lakini bado anaoneksna,hivyo hoja ya msingi bado haujaweka.
Kuna wakati sio lazima kukosoa kila kitu
Acha ujinga, amekaa nje ya mwezi mzima bila taarifa...alikuwa analipwa pesa za nani huko?Asipoonekana maneno, ameonekana maneno Sasa wanadam mnataka Nini?
Kazi maalum, kweli nchi hii kuna wajinga wengi...yaani makamu wa Rias anaweza kukaa nje kwa mwezi akifanya kazi isiyotolewa taarifa kwa umma na bado wengine wakaona ni sahihii.Was Waswahili shida sana. Mngeambiwa atakuwa nje kwa kazi maalum bado mngepiga kelele. Bora kukaa kimya.
ni kwa mujibu wa katiba ipi kwamba ni lazima kila safari yake akisafiri basi watu watangaziwe ?Hoja ya Msingi ni kwamba akisafiri Raisi ( Mfanyakazi wa Umma) huwa tunatangaziwa, mbona hili la Mpango ni kizumguti? kazi gani maalum hiyo aliyokuwa anafanya kisilisili na yeye ni number 2?
Maneno ya Kiswahili hayaAsipoonekana maneno, ameonekana maneno Sasa wanadam mnataka Nini?
Hii ni dharau kwa wananchi ambao ndio waajiri wakuu.Makam wa Rais amejitokeza adharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.
Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.
Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?
Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?
Matusi ya Nini chief?Mkuu Nape Anza na huyu mgagagigikokoPumbavu sanaa wewe!
Nadhani unafikiri kwa mdomo wa makalio
Kikubwa watambue kuwa pamoja na utopolo wao, sisi tuna utu zaidi ya unyama wanaotufanyiaMakam wa Rais amejitokeza adharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.
Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.
Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?
Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?