Kelele za wananchi wazalendo zamleta hadharani Makamu wa Rais. Lakini bado twajiuliza; ni sahihi kiongozi wa nchi kuishi nje mwezi bila taarifa rasmi?

Kelele za wananchi wazalendo zamleta hadharani Makamu wa Rais. Lakini bado twajiuliza; ni sahihi kiongozi wa nchi kuishi nje mwezi bila taarifa rasmi?

Ameajiliwana kulipwa na walipa kodi. yaani wewe binafsi, umlipe mtu halafu asionekane kazini na ukae kimya tu, labda kama una fedha za kumwaga bila ufuatiliaji ndio utaeleweka
Kazi gani ambayo wewe muajiri mwanamchi ulitaka makamu aifanye na haijafanyika mpaka sasa kwa kuwa hakuwepo ?
 
Waziri Mkuu ALIWAAMBIA yupo kikazi na ni mzima wa afya

Yeye Leo kaja kawaambia alikua nje kikazi Bado mnaendelea kukaza shingo

Sio Kila jambo au Kazi anayofanya Kiongozi wa Juu utangazwa

Basi alikua World bank kwenye sera

( Chadema yanajinyea) , (Chadema ni mbumbumbu)
ndugu, wewe una quote maneno yangu, halafu humo humo unataja Chadema... nani kasema kwamba mimi ni mmojawapo wa Chadema? kwa nini usijibu tu bila kutoa maneno hayo ya kujinyea au umezoe kujinyesha na unafikiri kila mtu ndio shughuli yake hiyo? Huyo PM mwenyewe anajulikana kwa Uongo... kumbuka ile ile kauli yake ya Magufuli yupo anachapa kana na anawasalimia na haijawahi hata kuombewa msahama wa uongo, kwa maana hiyo PM hawezi kuwa credible source tangia pale apolidaganya taifa...
 
Kazi gani ambayo wewe muajiri mwanamchi ulitaka makamu aifanye na haijafanyika mpaka sasa kwa kuwa hakuwepo ?
majukumu ya kazi ya mwakamu wa Raisi yapo kikatiba, lakini huko Qatar leo /jana katumwa yule wa nchi Jilani maana yake hakuweza kutimiza majukumu yake
 
Walipoficha alipo/hali ya mwenda zake walifaidika nini
Wewe ndio unatakiwa uthibitishe kwamba walifaidika na jambo hilo na sio wao.

Wao wakisema hawakufocha kwa sababu kuficha jambo hakuwafaidishi kitu.

Wewe ndio uthibitishe kwamba walificha na kuna faida walipata.

Je unao huo uthibitisho wa faida inayopatikana kwa serikali kuficha vifo vya viongozi ?
 
Makam wa Rais amejitokeza adharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.

Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.

Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?

Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?
Bila kelele tusingenpata
Nani amuamini mpaka piko rejea aliposema Magufuli anakata mitaa kumbe jamaa kameza ulimi.

CHADEMA tutaendelea kuwaamsha Wananchi Daima mbele UONGO kwetu mwiko.
Hahaha
 
huko Qatar leo /jana katumwa yule wa nchi Jilani maana yake hakuweza kutimiza majukumu yake
Bado haujaweka hoja ya msingi ya kusimamia mkuu.

Bado hsujajua unasimama wapi kati ya
kutoonekana makamu wa raisi

Au kumuwakikisha kiongozi mwingine kama mbadala wake ?

Maan zipo shughuli mbalimbali raisi huwa anawakilishwa lakini bado anaoneksna,hivyo hoja ya msingi bado haujaweka.

Kuna wakati sio lazima kukosoa kila kitu
 
Bado haujaweka hoja ya msingi ya kusimamia mkuu.

Bado hsujajua unasimama wapi kati ya
kutoonekana makamu wa raisi

Au kumuwakikisha kiongozi mwingine kama mbadala wake ?

Maan zipo shughuli mbalimbali raisi huwa anawakilishwa lakini bado anaoneksna,hivyo hoja ya msingi bado haujaweka.

Kuna wakati sio lazima kukosoa kila kitu
Hoja ya Msingi ni kwamba akisafiri Raisi ( Mfanyakazi wa Umma) huwa tunatangaziwa, mbona hili la Mpango ni kizumguti? kazi gani maalum hiyo aliyokuwa anafanya kisilisili na yeye ni number 2?
 
Was Waswahili shida sana. Mngeambiwa atakuwa nje kwa kazi maalum bado mngepiga kelele. Bora kukaa kimya.
Kazi maalum, kweli nchi hii kuna wajinga wengi...yaani makamu wa Rias anaweza kukaa nje kwa mwezi akifanya kazi isiyotolewa taarifa kwa umma na bado wengine wakaona ni sahihii.
 
Hoja ya Msingi ni kwamba akisafiri Raisi ( Mfanyakazi wa Umma) huwa tunatangaziwa, mbona hili la Mpango ni kizumguti? kazi gani maalum hiyo aliyokuwa anafanya kisilisili na yeye ni number 2?
ni kwa mujibu wa katiba ipi kwamba ni lazima kila safari yake akisafiri basi watu watangaziwe ?

Alafu kumbe hoja sio makamu kutoonekana tena.

Hoja sio kwamba kazi zake haziendi.

Hoja sasa hivi imekuwa akiondoka hamtangaziwi ?

Bado haujajua unasimamia wapi,unakuwa unageukageuka tu kadri ya muda unavyokwenda,hili sio jambo zuri kwa mtanzania mwenye afya ya akili kama wewe.
 
Makam wa Rais amejitokeza adharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.

Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.

Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?

Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?
Hii ni dharau kwa wananchi ambao ndio waajiri wakuu.
 
Makam wa Rais amejitokeza adharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.

Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.

Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?

Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?
Kikubwa watambue kuwa pamoja na utopolo wao, sisi tuna utu zaidi ya unyama wanaotufanyia
 
Back
Top Bottom