that's right, Chris Rock makes you think!Aisee sijui hata ,huyu jamaa kwenye stand up comedy ni bora nimwangalie Criss Rock kuliko Hart ,labda kwenye maeneo mengine ndio yuko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
that's right, Chris Rock makes you think!Aisee sijui hata ,huyu jamaa kwenye stand up comedy ni bora nimwangalie Criss Rock kuliko Hart ,labda kwenye maeneo mengine ndio yuko vizuri
Unabisha au,!! amehost BET 2011 na MTvVMA 2012 na award nyingine kibao usizozijua.Huyu jamaa amewahi kuwa host BET AWARDS???
Huyu jamaa amewahi kuwa host BET AWARDS???
Alishawahi Host BET Awards.Hajawahi
Lil Wayne akipost ndani ya Just now tu ina likes 5000.Umenikumbusha mara ya kwanza kumjua.nlikuwa nalinganisha hadhi za watu kwa kuangalia likes instagrem.
Nimetoka bongo kwa diamond akiwa anaongoza bongo na likes 12000 likes.nikaenda kwa paquiao nikakuta 90000-100000 likes macho yakanitoka.nika mfollow hapo hapo nikaletewa myweather nikakuta 200, 000likes nikafollow akaja yeye sasa nikakuta 250,000likes ikabidi nimchimbe nikagundua ni mchekeshaji maarufu sana huko.
hivi huwa anachekesha kweli kama hawa wakina joti maana me sijui kiingereza huwa namuona kwa majukwaa na watu wakichekaNdugu zake joti na mpoki.
Jamaa anachekesha sana aisee.hivi huwa anachekesha kweli kama hawa wakina joti maana me sijui kiingereza huwa namuona kwa majukwaa na watu wakicheka
sasa anakuchosha au unajichosha mwenyewe? nani kakwambia ufungu uzi huu?Tusichoshane basi, ingia wikipedia yake utaona ubuyu wake wote. Binafsi nilianza kumfahamu alivyokuwa akihost tuzo za BET 2011
U genius wake nini?
Labda kuchekehaU genius wake nini?
Lil Wayne akipost ndani ya Just now tu ina likes 5000.
Ka hostHajawahi
Angalia movie zake utamwelewa, Try hard 2015, Central Intelligence 2016 etc kweli anakipaji na ni star kwelikweli!!Aisee sijui hata ,huyu jamaa kwenye stand up comedy ni bora nimwangalie Criss Rock kuliko Hart ,labda kwenye maeneo mengine ndio yuko vizuri
Tusichoshane basi, ingia wikipedia yake utaona ubuyu wake wote. Binafsi nilianza kumfahamu alivyokuwa akihost tuzo za BET 2011
Nishaangalia Movie zake ,tatizo langu lipo kwenye stand up comedy ,akiwa jukwaani mwenyewe akijaribu kuchekesha watu ,mimi hapa bora Chriss RockAngalia movie zake utamwelewa, Try hard 2015, Central Intelligence 2016 etc kweli anakipaji na ni star kwelikweli!!