Kelvin John asajiliwa na KRC Genk ya Belgium

Protect

Senior Member
Joined
Apr 4, 2020
Posts
103
Reaction score
362
Mshambuliaji kinda wa Tanzania, Kelvin John "Mbappe" ame sign mkataba wa miaka 3 na timu ya KRC Genk ya ligi kuu ya Belgium

Timu ya Genk ndio timu aliyokuwa anaichezea nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta kabla ya kujiunga na Aston Villa

Kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa KRC Genk, wamethibisha kumsajili Mtanzania huyo

Kila la heri kwa Kelvin John kwenye majukumu yake hayo mapya
 
akitaka afike mbali awakatae watanzania mapema.
 
Akapambane haswa maana pale Genk kuna mnaija anaitwa Paul Onuachu ni hatari sana yule kiumbe. Nimeona pia Genk wanasema kelvin ni strong na yuko fasta hivi ni kweli?
Wakati anacheza UMISETA mwanza alikuwa strong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…