42km ndio marathonAmekimbia kilometa ngapi kwa huo muda?
Tia nyama taarifa yako
Hilo sio lengo la mtoa mada. Lengo lake kumzodoa na kumkomoa KipchogeAmekimbia kilometa ngapi kwa huo muda?
Tia nyama taarifa yako
Kama ni marathon basi ni kilometa 42.Amekimbia kilometa ngapi kwa huo muda?
Tia nyama taarifa yako
Sikuwa nafahamu hilo.Kama ni marathon basi ni kilometa 42.
Na zile mita100?ni niniKama ni marathon basi ni kilometa 42.
Ni kivumbi...🤣Na zile mita100?ni nini
Waswahili tunaita mbio fupi.Na zile mita100?ni nini
Meneja ndiye anamsimamia mchezajiTatizo ni pale nilipoona anapokelewa na mzungu kwenye finishing. Nikajiuliza kwa nini mali ya kenya inapokelewa na Mzungu?
Wa nchi ganiLeo jumapili October 8, tumemuona KELVIN KIPTUM akivunja record ya dunia ya Marathon hapo Chicago nchini Marekani kwa muda wa saa 2 na sekunde 35, akiizidi record ya KIPCHOGE aliyoweka Berlin Marathon(saa 2:01:09)...Hivyo bingwa mpya wa marathon ni KELVIN KIPTUM..
KENYAWa nchi gani
TZ hamna...Wa Tz alikuwepo ?