Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
SawaKENYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaKENYA
Wapo bize kumsifu mamaWa Tz alikuwepo ?
Duh maana yake anaweza kimbia dar mnazi mmoja to msavu morogoro kwa masaa 9 kasoro tu.Leo jumapili October 8, tumemuona KELVIN KIPTUM akivunja record ya dunia ya Marathon hapo Chicago nchini Marekani kwa muda wa saa 2 na sekunde 35, akiizidi record ya KIPCHOGE aliyoweka Berlin Marathon(saa 2:01:09)...Hivyo bingwa mpya wa marathon ni KELVIN KIPTUM..
Alikuwepo fun runner au jogger : wincelaus TarimoTZ hamna...
🤣🤣😃ujue weweeeNi kivumbi...🤣
nimefanyaje🤣🤣😃ujue weweee
Hiyo ni UNOFFICIAL ilikua ni project ya NIKE breaking two...ilikua na vitu ambavyo haviruhusiwi... kama pace makers walikaa MONZA FORMATION umbo kama la pembe tatu hivi ili wamkingie upepo, pia walifuata LASER BEAM za kijani zilikua projected kutoka kwenye gari lililokua mbele, pia alipewa maji na electrolytes na watu wa baiskeli badala ya kuchukua mezani, pia kuna madawa alitumia(DOPPING) kama huamini angalia Berlin ya mwaka huu nini kilikua kinatoka puani kwake kwanzia km 35 sio kamasi angalia vizuri...Eliud Kipchoge 2019 amkimbia marathon kwa muda wa 1hr 59min.
uongo mtupuHiyo ni UNOFFICIAL ilikua ni project ya NIKE breaking two...ilikua na vitu ambavyo haviruhusiwi... kama pace makers walikaa MONZA FORMATION umbo kama la pembe tatu hivi ili wamkingie upepo, pia walifuata LASER BEAM za kijani zilikua projected kutoka kwenye gari lililokua mbele, pia alipewa maji na electrolytes na watu wa baiskeli badala ya kuchukua mezani, pia kuna madawa alitumia(DOPPING) kama huamini angalia Berlin ya mwaka huu nini kilikua kinatoka puani kwake kwanzia km 35 sio kamasi angalia vizuri...
Alichodanganya hapo ni kuhusu doping tu!,, mengine yoote ni ukweli 100%uongo mtupu
DahKIPTUM mpinzani mpya wa KIPTOO amefariki Dunia jana kwenye ajali ya gari huko magharibi mwa Kenya.
Hv ilikuwaje na nani aliamua marathon iwe km 42 na kwanini isiwe km 50 au 55 nk?Amekimbia KM 42 hiyo ndio maana ya neno MARATHON...ukisema HALF-MARATHON hio ni nusu yake yaani KM 21
Uongo+ukweli = uongoAlichodanganya hapo ni kuhusu doping tu!,, mengine yoote ni ukweli 100%
Dunia uwanja wa vita ..mtu anajiandaa kvnja rekod ya dunia, ghafla anapiga mzinga wa ajali..Too Bad huyu dogo ametutoka kwa ajali!!... dahh. Very painful.... mimi naanza kuhisi ni fitna hizi
Ninaiman asubuhi ya leo tutakuwa pamoja Kili marathon mkuu.Amekimbia KM 42 hiyo ndio maana ya neno MARATHON...ukisema HALF-MARATHON hio ni nusu yake yaani KM 21