Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hafiki?Mmh hafiki hiyo miaka labda 40
Kaseja aliwahi Sana alistaafu akiwa na 34Hivi kaseja na yondani nani wa zamani zaidi?
Basi yondani hana miaka 40, kwasababu kaseja ana 39 anaitafuta 40.Kaseja aliwahi Sana alistaafu akiwa na 34
Ndio ndioanapikia kuni
weeh kaseja 98 yupo ligi kuu, sitaki kuamini alikuwa na miaka 13Basi yondani hana miaka 40, kwasababu kaseja ana 39 anaitafuta 40.
Alikuwa anachezea timu gani ?weeh kaseja 98 yupo ligi kuu, sitaki kuamini alikuwa na miaka 13
Reli ya moroAlikuwa anachezea timu gani ?
Sio bongo tu, haya mambo nadhani yalianzia West Afrika huko ndio yakasambaa nchi nyingine za Afrika. Mukwala na ule upara ati ana miaka 22!?Wachezaji wa bongo wengi huwa wanadanganya mwaka sahihi wa kuzaliwa kwa sababu waendelee kuwepo kazini , mtu ana miaka 35 anasema ana 22...
Timu nyingi kuna jamaa wana 40 plus... Bongo noma..
Hayo ni mambo yake binafsiIla mbona macho yake yanakaaga mekundu au tusiwe na wasiwasi anapikia kuni