XaviMessIniesta
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 2,231
- 2,778
Kubuka KASEJA kaingia kabla ya Yondan ligi kuu 1998 akiwa Reli ya moroKASEJA
Alizaliwa tarehe 9.10.1980
YONDAN
Alizaliwa tarehe 20.4.1985
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubuka KASEJA kaingia kabla ya Yondan ligi kuu 1998 akiwa Reli ya moroKASEJA
Alizaliwa tarehe 9.10.1980
YONDAN
Alizaliwa tarehe 20.4.1985
Wazee mnajua kutembea na beat kwa hio ukampa na ID na avatar ukamvikaGanja inakufanya unazeeka macho tu
FuatiliaKubuka KASEJA kaingia kabla ya Yondan ligi kuu 1998 akiwa Reli ya moro
Bangi haisaidii kukuweka fit, hiyo ni kazi ya mazoezi na kuitunza afyaBangi inasaidia sana aisee.
Kaseja ana miaka 40. Kaseja namfahamu vizuri nje ya boli na amekuwa pamoja na bro wangu ambaye sasa hivi ana 40.weeh kaseja 98 yupo ligi kuu, sitaki kuamini alikuwa na miaka 13
Na juma nyosso bado anakipigaKelvin Yondan mfano wa kuigwa,miaka 43 bado anakipiga.
Sijui yuko wapi ila mpaka mwaka jana aLikuwa Geita Gold akiwa bado miaka 43, kongole kwake kwakujitunza
Kama kweli 1998 alikua ligi kuu, hawexi kua 40, labda hiyo 1998 unaifuta au unaikata kabisa kama alianza mpira na 20yrs 1998 sasa hivi 2024 ni umri gani huoKaseja ana miaka 40. Kaseja namfahamu vizuri nje ya boli na amekuwa pamoja na bro wangu ambaye sasa hivi ana 40.
Siyo Bongo tu ni Africa nzima kasoro mwarabu.Wachezaji wa bongo wengi huwa wanadanganya mwaka sahihi wa kuzaliwa kwa sababu waendelee kuwepo kazini , mtu ana miaka 35 anasema ana 22...
Timu nyingi kuna jamaa wana 40 plus... Bongo noma..
Nyoni kaacha!?Kelvin Yondan mfano wa kuigwa,miaka 43 bado anakipiga.
Sijui yuko wapi ila mpaka mwaka jana aLikuwa Geita Gold akiwa bado miaka 43, kongole kwake kwakujitunza
Kaseja ana zaidi ya 40,Mimi Nina zaidi ya 40 lakini nisingweza kucheza ligi kuu 1999 Kama kaseja,nilikua nikimtazama namuona mkubwa kwanguKaseja ana miaka 40. Kaseja namfahamu vizuri nje ya boli na amekuwa pamoja na bro wangu ambaye sasa hivi ana 40.
Kibongobongo huwezi cheza ligi kuu ukiwa chini ya miaka 20Kama kweli 1998 alikua ligi kuu, hawexi kua 40, labda hiyo 1998 unaifuta au unaikata kabisa kama alianza mpira na 20yrs 1998 sasa hivi 2024 ni umri gani huo
Aisee Yondan ana share birth day memory na yf..KELVIN PATRICK YONDAN
Alizaliwa tarehe 9.10.198.....
Mwaka 2003 wakati simba anacheza na zamalek kaseja alikuwa na miaka 18 piga hesabu mpaka leo ana miaka mingapi? Kama unabisha leta ushahidi unaoonesha ana miaka zaidi ya 40.Kaseja ana zaidi ya 40,Mimi Nina zaidi ya 40 lakini nisingweza kucheza ligi kuu 1999 Kama kaseja,nilikua nikimtazama namuona mkubwa kwangu
Lamek lawi ana 18 na anache ligi kuu.Kibongobongo huwezi cheza ligi kuu ukiwa chini ya miaka 20
Endelea kudanganyikaLamek lawi ana 18 na anache ligi kuu.
Nilitazama game zote za makundi za Simba,kaseja hakuwa na miaka 18,1999 Yuko moro unitedMwaka 2003 wakati simba anacheza na zamalek kaseja alikuwa na miaka 18 piga hesabu mpaka leo ana miaka mingapi? Kama unabisha leta ushahidi unaoonesha ana miaka zaidi ya 40.
SawaAisee Yondan ana share birth day memory na yf..