Kemikali gani huyafanya maji yawe na ladha nzuri kama yanayouza kwenye chupa?

Kemikali gani huyafanya maji yawe na ladha nzuri kama yanayouza kwenye chupa?

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Habari,

Kwenu watalaamu, naomba kufahamishwa ni chemical gani ninaweza kutumia ili kutafanya maji ya bombani (dawsco) yawe matamu kama yanayosambazwa na chupa..mfano Hill water, masafi Afiya...nk.

Naomba kufahamu upatikanaji wake, bei, muuzaji.
 
Agiza maji ya natural spring utayapenda. Kiujumla ni iron ndio inafanya maki yawe mazuri kwa jinsi navoelewa mimi.
Maji yenu ni mabaya kwa sababu yame disolve chumvi, madini ya chokaa nk.
Yapo contaminated. Njoo njombe unywe maji, au Udzungwa au Mlima Rungwe na pembezoni, maji yote hayo nimeyanywa na ni softwater sio hard water.
 
Kuna muhindi yupo pale area C sime sikujua anachofanya kwenye maji chumvi yanakuwa matamu
 
nategemea kufanya camping porini, nahitaji kit yakuweza kutibu maji tutakayokutana nayo huko porini yawe salama na yenye ladha nzuri ya kukata kiu
Ukiwa porini kunywa maji ya huko hautapata taabu.

Peleka makloraidi yako huko porini utarudi na taifodi😆
 
Kuna filter ambazo zinasafisha/kuondoa vitu na kufanya maji yawe matamu, sio kitu unaongeza kwenye maji bali ni machine inasafisha hayo maji.

Unaweza ukaangalia hapa

Sema kila aina ya maji ina treatment yake unaweza ukawasiliana na mtaalamu eneo husika akakushauri maji ya hapo yanatakiwa yapewe treatment ipi.
 
By the way Maji ni.
Collouress
Testless.
Ordolless.

Maji si matamu.
Maji Hayana Radha.

Kinachosababisha Maji ya Chupa YAWE vile ni Fillter ( Mashine)
 
Back
Top Bottom