kevylameck
Member
- Nov 3, 2013
- 18
- 19
Acha kupost pumba"Kuwa na takwimu sahihi kuhusiana na watu ambazo zimechambuliwa na kuainishwa kwa makundi, ukubwa na mtawanyiko wa watu na makazi ni muhimu katika kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Niwaombe kujitokeza kuhesabiwa ifikapo jumanne ya August 23/2022"-Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha mapinduzi (UVCCM) Ndg Kenani KihongosiView attachment 2300198
Kumbe Katia stiki watuHuyu aendelee tu kuchapa watu viboko maana kichwani mwake zimo kidogo sana
Hivi huyu Kihongosi anajua anachoongea?"Takwimu za kiuchumi zitakazopatikana Agosti 23/2022 zitaonesha uwiano wa vijana wanaojishughulisha na kazi za kuzalisha mali na aina ya kazi tunazofanya.
Hii itaisaidia serikali katika kupanga sera na mipango ya maendeleo inayolenga katika kukuza ujuzi kwa vijana, Utoaji wa ajira, Uboreshaji wa uzalishaji mali na upangaji wa maisha bora zaidi na ustawi wa vijana.
Vijana tujiandae kuhesabiwa."- Kenani Kihongosi,Katibu Mkuu UVCCM
View attachment 2297939View attachment 2297940
CCM kuna Vijana wenye uwezo mdogo wa akiliCCM ina vijana wa hovyo sana karne hii unaongea mambo ambayo hata watu wa karne ya Yesu wakifufuka ghafla watashangaa
Mmezoea kuchezea akili za vijana!"Takwimu za kiuchumi zitakazopatikana Agosti 23/2022 zitaonesha uwiano wa vijana wanaojishughulisha na kazi za kuzalisha mali na aina ya kazi tunazofanya.
Hii itaisaidia serikali katika kupanga sera na mipango ya maendeleo inayolenga katika kukuza ujuzi kwa vijana, Utoaji wa ajira, Uboreshaji wa uzalishaji mali na upangaji wa maisha bora zaidi na ustawi wa vijana.
Vijana tujiandae kuhesabiwa."- Kenani Kihongosi,Katibu Mkuu UVCCM
View attachment 2297939View attachment 2297940