chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Hapana siyo kweliNi kweli usemayo,Nakumbuka kuna mtu alienda pale wakasema Alaf hawauzi bati zao isipokuwa kwa maa agent wao,je iyo nayo ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siyo kweliNi kweli usemayo,Nakumbuka kuna mtu alienda pale wakasema Alaf hawauzi bati zao isipokuwa kwa maa agent wao,je iyo nayo ni kweli
Uiumia agent kuna probability ya kupata bati mapema sababu agent ana kuwa na order. Ya mzigo mkubwa sasa hawawezi jukuanza kukusaidia ww mwenye order ndogo lzm wana anza na mwenye order kubwaHapana siyo kweli
Kwani bati za kupima zina advantage gani? Hiyo square meter inapimwa sawasawa kwa urefu na upana? Maana naona bei yake ukilinganisha na bati zao ni kubwa mno . Lengo ni kujifunzaUnakuwa sio muelewa, makadirio yanayofanyika kabla ya ujenzi ni ya size standard ya mabati. Mfano kama makadirio ni bati 70 maana yake ni bati 70 za meter 3. Ila hizi za kupima baada ya kupiga kenchi huwa zinapimwa bati za urefu tofauti pungufu au zaidi ya meter 3. Hivyo vipimo unapeleka alaf na bati zako zikija wewe ni kugonga tu hakuna hata kukata ili kupunguza urefu etc.
Urefu tu ndio unatofautiana. Upana wa mabati nisawa. Hii inapunguza adha ya kukata kata mabati, kupata mabati kiasi kile tu unachohitaji bila kuzidisha au kupungua, bei ya kiwandani etcKwani bati za kupima zina advantage gani? Hiyo square meter inapimwa sawasawa kwa urefu na upana? Maana naona bei yake ukilinganisha na bati zao ni kubwa mno . Lengo ni kujifunza
Hakuna bati isiyopauka! Take it from me, hata Alaf hawezi kukupa gerentii kuwa bati zake hazipauki. Kinachotofautisha ubora wa kampuni moja na nyingine ni time ya kupauka. Takribani bati kutoka kampuni yote lazima utaanza kuona dalili za kupauka baada ya mwaka wa kumi. Zipo kampuni zinazopauka mapema na nyingine zinachelewa lkn hatimaye zote zitapaukaMkuu
Sunshare mimi nilipaulia bati zao huko zamani. Dar. Baada ya miaka kama mitano hivi zilipauka na kupoteza rangi ya awali.
Labda kama wamejiboresha!
ina tegemeana na aina ya mbao nyumba ya Mzee alitumia mbao za mniga mpaka Leo zipo vizur tokea mwaka 1974 na madirsha mbao ya mningaSalama wanajamvi?
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Wiki nne zilizopita Nilifunga mbao za kench ktk site yangu na kuoda bati alaf ila bati bado hazijatoka nimeambiwa nitegemee zitatoka ndani ya wiki tatu zijazo.
Na mvua za masika ndio naona zimeanza hapa Dar. Sasa naingia wasiwasi kama kenchi zinaweza kuharibika. Naombeni ushauri wadau kama kweli zinaharibika zikikaa sana na je nifanye nini kuzuia uharibifu.
Nyumba iko Dar na nimetumia mbao zenye dawa. Ila ni mbao za dawa ya kuchovya sio zile za kuchemsha
Wasalaam
Sasa kwa mwaka 1974 huo mninga ulikuwepo kwa wingi...sasa hivi kupata mninga kwa ajili ma milango tu ni shida.na bei ni juu sana.ina tegemeana na aina ya mbao nyumba ya Mzee alitumia mbao za mniga mpaka Leo zipo vizur tokea mwaka 1974 na madirsha mbao ya mninga
Sent using Jamii Forums mobile app