Kendrick Lamar katika ubora wake

Kendrick Lamar katika ubora wake

kendrick katika wale mainstream rappers hakuna wa kushindana nae kwa mashairi. kina drake, meek mill, big sean wote ni mainstream rappers wanatunga mashairi mepesi ili kupata radio play. japo jcole sometimes ana lyrics ngumu ila bado sana hajafika kwa Kendrick mtu yoyote anaefatilia hip hop anajua hilo. ukitaka kumpambanisha Kendrick kwa mashairi labda utafute watu ambao ni underground kidogo kama royce da 59, jay electronica, black thought, talib kweli. .....ndo mana kdot anakubalika sana coz anatoa nyimbo ngumu na bado anapata radio play na album zake zinauza sana. tena hategemei collabo. nyimbo zote za kdot ambazo zime HIT amefanya pekeyake (king kunta, alright, swimming pools, kill my vibe) jcole nyimbo yake ambayo ili hit sana alimshirikisha beyonce. mtu kama meek mill anategemea kamshirikisha niki minaj na cris brown ndo nyimbo ipigwe kwenye radio....salute kwa king Kendrick
 
kendrick katika wale mainstream rappers hakuna wa kushindana nae kwa mashairi. kina drake, meek mill, big sean wote ni mainstream rappers wanatunga mashairi mepesi ili kupata radio play. japo jcole sometimes ana lyrics ngumu ila bado sana hajafika kwa Kendrick mtu yoyote anaefatilia hip hop anajua hilo. ukitaka kumpambanisha Kendrick kwa mashairi labda utafute watu ambao ni underground kidogo kama royce da 59, jay electronica, black thought, talib kweli. .....ndo mana kdot anakubalika sana coz anatoa nyimbo ngumu na bado anapata radio play na album zake zinauza sana. tena hategemei collabo. nyimbo zote za kdot ambazo zime HIT amefanya pekeyake (king kunta, alright, swimming pools, kill my vibe) jcole nyimbo yake ambayo ili hit sana alimshirikisha beyonce. mtu kama meek mill anategemea kamshirikisha niki minaj na cris brown ndo nyimbo ipigwe kwenye radio....salute kwa king Kendrick
[emoji2] [emoji2] bruh ungesema tu k. Dot ni zaidi ya j cole ungesomeka vizuri tu aya mengine unatuchanganyia mada tu, iyo nyimbo ni ya Beyonce wala sio jermaine.
 
kendrick katika wale mainstream rappers hakuna wa kushindana nae kwa mashairi. kina drake, meek mill, big sean wote ni mainstream rappers wanatunga mashairi mepesi ili kupata radio play. japo jcole sometimes ana lyrics ngumu ila bado sana hajafika kwa Kendrick mtu yoyote anaefatilia hip hop anajua hilo. ukitaka kumpambanisha Kendrick kwa mashairi labda utafute watu ambao ni underground kidogo kama royce da 59, jay electronica, black thought, talib kweli. .....ndo mana kdot anakubalika sana coz anatoa nyimbo ngumu na bado anapata radio play na album zake zinauza sana. tena hategemei collabo. nyimbo zote za kdot ambazo zime HIT amefanya pekeyake (king kunta, alright, swimming pools, kill my vibe) jcole nyimbo yake ambayo ili hit sana alimshirikisha beyonce. mtu kama meek mill anategemea kamshirikisha niki minaj na cris brown ndo nyimbo ipigwe kwenye radio....salute kwa king Kendrick
well said mkuu
 
Who said black man in illuminati? Last time I checked that was the biggest racist party, so get off your slave ships,build your own pyramids, write your own hieroglyphs.....
 
uploadfromtaptalk1464378167183.jpg
west side
 
What kendrick good he did is he came with his own style and flow....but he isnt the best to ever do it jay z gotta good flow and eminem is the wordsmith he got good wordplay but in overal kendrick is better that many cats that are overated like wayne and drake!!maaaan **** wayne am doper than his ass.....and kuna guys kama King los and Logic they are good
Mjiñga ww fakeni
 
Back
Top Bottom