Kendrick Lamar & SZA- all the stars: Wasanii wetu mna nini cha kujifunza?

Kendrick Lamar & SZA- all the stars: Wasanii wetu mna nini cha kujifunza?

Hahahaha Braza bwana!
Hata bongo hapa kuna watu wana IQ kubwa sanaaa sanaaaa!
Sema shida yetu ni kwamba tunafanya vitu kwa tamaa, ubinafsi na kukomoana.
Hatuna visima vya kuteka vipaji kama hawa jamaa walivyo . Tuna macho lakini hatutambui vipaji hata tukiviona, tunamkubali mtu ana kipaji cha kuimba mpaka awe anafanya aina fulani fulani za muziki ambayo sisi tunaitaka (To me this is very wrong); Kwasababu inaua Originality na Creativity mwishowe tunakua na muziki yebo yobo usio na Identity.

kweli bro ila km umesoma vizuri apo ndomana nikasema lifestyle pia limetuaffect...kwakua ao wenye iq kubwa unakuta wamezungukwa na wajinga wengi mwsho wa siku idea zinalala
 
kweli bro ila km umesoma vizuri apo ndomana nikasema lifestyle pia limetuaffect...kwakua ao wenye iq kubwa unakuta wamezungukwa na wajinga wengi mwsho wa siku idea zinalala

Hahahahahahaha!
Hapa Bongo tuliruhusu wajinga kushika hatamu!
Siku moja nilimsikilia jamaa moja hivi anaitwa Awilo Masoksi, nilishangaa sana kuona Aina ya Muziki anaoimba ni wa kipekee sanaa sanaaa! Lakini wabongo walimcheka alivyokuwa anaimba, And I was like "what's wrong with these people"...Nikasema kweli kwenye miti mingi hakunaga wajenzi..!
 
Ni kweli Mkuu sjajua ni kwanini hata tuwape muda watarudi tu

Kurudiii ???
Mhhh, I am very skeptic about that!
Aina ya Muziki "RnB, Soul and Blues" waliokuwa wanaufanya siku hizi umehodhiwa na weupe,
Leo hii watakwambia mtaalamu wa kuimba Soul Music ni Adele, Christina Aguilera na P!nk...!
 
Hahahahahahaha!
Hapa Bongo tuliruhusu wajinga kushika hatamu!
Siku moja nilimsikilia jamaa moja hivi anaitwa Awilo Masoksi, nilishangaa sana kuona Aina ya Muziki anaoimba ni wa kipekee sanaa sanaaa! Lakini wabongo walimcheka alivyokuwa anaimba, And I was like "what's wrong with these people"...Nikasema kweli kwenye miti mingi hakunaga wajenzi..!


mkuu wale jamaa wazuri sema wamekosa promo za midia alafu kuna dogo anaitwa wamwiduka hatari sana
 
Anatumia sana akili kufanya vitu, hii nafasi alianza nayo Lupe Fiasco lakini akaja kuharibu mbele.
Ile Album yake The Cool, Jay Z aliisifia sana akasema It's a breath of fresh air....Lakini kwenye Beautiful Lasers akaweka U-Main Stream mwingiiiii sana akaharibu.......though it was a good Album!
Lupe the samurai anaharibu ni big mouth know days naona anamuataki Sana Kendrick
 
Lupe the samurai anaharibu ni big mouth know days naona anamuataki Sana Kendrick

Binafsi nakubali sana kazi za Kendrick uwezo wake wa kucheza na Lyrics, bidii na ubunifu wa hali ya juu sana.
Concert zake huwa hazitabiriki kabisaa, lakini ukimlinganisha yule Lupe Fiasco wa The Cool kwa mtazamo wangu Kendrick hagusi ule moto. Lupe alikuwa anaandika vitu ambavyo vinaigusa jamii ya Wamarekani hadi unabaki mdogo wazi tu, lakini akalegeza buti na akaachwa na leo kabaki kudiss wenzake tu....!

Hebu msikilize hapa:
Let me put you on game


The Cool


Intruder Alert


Take time kumsikiliza hapa utaelewa nachokuambia!
Sidhani kama Lupe Fiasco anaweza kuimba hivi tena!
 
Huwa napenda sana kuangalia videos za Kendrick Lamar...
Hajawahi kuniangusha kabisa from Hiii Power,Rigamortis,These walls,Humble na hii ya sasa All Stars..!
Kendrick ni picha halisi ya Hip Hop..!!!
 
Binafsi nakubali sana kazi za Kendrick uwezo wake wa kucheza na Lyrics, bidii na ubunifu wa hali ya juu sana.
Concert zake huwa hazitabiriki kabisaa, lakini ukimlinganisha yule Lupe Fiasco wa The Cool kwa mtazamo wangu Kendrick hagusi ule moto. Lupe alikuwa anaandika vitu ambavyo vinaigusa jamii ya Wamarekani hadi unabaki mdogo wazi tu, lakini akalegeza buti na akaachwa na leo kabaki kudiss wenzake tu....!

Hebu msikilize hapa:
Let me put you on game


The Cool


Intruder Alert


Take time kumsikiliza hapa utaelewa nachokuambia!
Sidhani kama Lupe Fiasco anaweza kuimba hivi tena!

Ahahaaaah...
Lupe Fiasco namuweka katika top ten yangu ya marapper bora kabisa niliowahi kuwasikiliza..!
Asante sana Kiongozi...
Haujamvunjia heshima Kendrick,maana kuna watu huwa wanathubutu kumfananisha Kendrick na akina Drake..!
Ahahaaaah...
Kwangu mimi huu ni ukosefu wa ADABU..!
 
aisee! imenibidi niiangalie hii video zaidi ya mara nne, nilichogundua kwa wenzetu huwa hawafanyi vitu kwa mazoea na hicho ndio kinatutofautisha.Hii video inaubunifu wa hali ya juu sana big up sana kendrick.
pia naona ameamua kuwapa shavu wa south africa.
 
Ahahaaaah...
Lupe Fiasco namuweka katika top ten yangu ya marapper bora kabisa niliowahi kuwasikiliza..!
Asante sana Kiongozi...
Haujamvunjia heshima Kendrick,maana kuna watu huwa wanathubutu kumfananisha Kendrick na akina Drake..!
Ahahaaaah...
Kwangu mimi huu ni ukosefu wa ADABU..!

Drake is really really good!
Ana Swagger hadi unakubali kikubwa zaidi ni kwamba anajua kuimba.
Lakini kuandika mambo mazito kama Kendrick na Lupe bado sana kwasababu hawa majamaa wakiimba hata mapenzi lazima utakuta kuna vitu vya hatari humo ndani.........!

Mfano hizi hapa:
1. Hip Hop Saved my life- Lupe Fiasco ft Nikki jean


2. War is my love- Kendrick Lamar
 
Binafsi nakubali sana kazi za Kendrick uwezo wake wa kucheza na Lyrics, bidii na ubunifu wa hali ya juu sana.
Concert zake huwa hazitabiriki kabisaa, lakini ukimlinganisha yule Lupe Fiasco wa The Cool kwa mtazamo wangu Kendrick hagusi ule moto. Lupe alikuwa anaandika vitu ambavyo vinaigusa jamii ya Wamarekani hadi unabaki mdogo wazi tu, lakini akalegeza buti na akaachwa na leo kabaki kudiss wenzake tu....!

Hebu msikilize hapa:
Let me put you on game


The Cool


Intruder Alert


Take time kumsikiliza hapa utaelewa nachokuambia!
Sidhani kama Lupe Fiasco anaweza kuimba hivi tena!

Lupe is cool asee Ile album yake ya food & liquor is better hata hii album yake ya drogus light I still feel him ... ushawahi sikia ile mixtape yake ya Fahrenheit ?

Still Lupe huwa namuweka level za mosdef
 
Lupe is cool asee Ile album yake ya food & liquor is better hata hii album yake ya drogus light I still feel him ... ushawahi sikia ile mixtape yake ya Fahrenheit ?

Still Lupe huwa namuweka level za mosdef

Lupe ni noma sana aisee!
Hii ngoma unaipata ??:
 
Lupe ni noma sana aisee!
Hii ngoma unaipata ??:

Yo! bro I salute you ... if I don't mix huu wimbo ulikuwa kwenye laser album (right!?) with other songs like till I get there/ I don't wanna care right now/ Out of my head/All Black Everything /never forget you/

Lupe anajua, leo itabidi nimuweke kwa Playlist
 
Yo! bro I salute you ... if I don't mix huu wimbo ulikuwa kwenye laser album (right!?) with other songs like till I get there/ I don't wanna care right now/ Out of my head/All Black Everything /never forget you/

Lupe anajua, leo itabidi nimuweke kwa Playlist

hahahaa Beautiful Lasers!
 
Back
Top Bottom