myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 166,767 Reaction score 705,461 Nov 29, 2022 #81 Kingsmann said: Hii ya kunyonya ubongo huwa ina ukweli wowote? Unforgetable Click to expand... Ni fikra zamani tuliambiwa, hazina ukweli.
Kingsmann said: Hii ya kunyonya ubongo huwa ina ukweli wowote? Unforgetable Click to expand... Ni fikra zamani tuliambiwa, hazina ukweli.
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 166,767 Reaction score 705,461 Nov 29, 2022 #82 Trubarg said: Kenge shida ipo kwenye mifugo hasa kuku na mayai..kwa binadamu Hana ishu Click to expand... Sawasawa
Trubarg said: Kenge shida ipo kwenye mifugo hasa kuku na mayai..kwa binadamu Hana ishu Click to expand... Sawasawa
jerryempire JF-Expert Member Joined Jan 4, 2017 Posts 5,530 Reaction score 9,550 Nov 29, 2022 #83 October man said: Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge. Click to expand... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mwanangu umekuwa adimj sana sku hizi
October man said: Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge. Click to expand... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mwanangu umekuwa adimj sana sku hizi
OSEFUKANY JF-Expert Member Joined Jan 16, 2011 Posts 2,437 Reaction score 3,896 Nov 29, 2022 #84 mjegejo said: Anasababisha maumivu akikuchapa na mkia wake mengine sjui wadau wataongezea Click to expand... Ongezea: Anakula mayai na vifaranga vya kuku kwa hiyo atakusababishia hasara kubwa kama unafuga kuku wa mayai/nyama kibiashara
mjegejo said: Anasababisha maumivu akikuchapa na mkia wake mengine sjui wadau wataongezea Click to expand... Ongezea: Anakula mayai na vifaranga vya kuku kwa hiyo atakusababishia hasara kubwa kama unafuga kuku wa mayai/nyama kibiashara