Kenge ana madhara gani kwa Binadamu?

Kenge ana madhara gani kwa Binadamu?

Kenge ana madhara makubwa yanayopelekea kifo kama usipowai matibabu, anatumia mkia wake ambao una nguvu anaweza kuangusha mtoto (inategemea na ukubwa wa kenge).
Ukishaanguka anatumia ndimi zake ndefu mbili kuingiza puani anachokutana nacho, anakunyonya kamasi zote hadi ubongo,
USHAURI:Kuepukana nao na wasiweke makazi kwako, nakushauri fuga mbwa na paka nyumbani kwako
Ubongo 😳
 
dahh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
 
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
hahaha
 
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
Hii chai haijakolea viungo nimeshaionja
 
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
Akiwa hana ubongo 'akaenda' hospital
Tuna madokta humu waje watusaidie naona kizunguzungu tu
 
Hilo la kunyonya ubongo ndo nimelisikia leo.

Binafsi nilifungwa kamba kuwa wananyonya damu puani kitu ambacho kina make sense somehow

Nimeishi kando ya ziwa Victoria (-100 M) kenge walikuwa wengi lakini sikuwahi kuona wala kusikia wamempiga ngwara mtu na kunyonya chochote.
 
Maeneo nilipokuwa mdogo kuliwa na ufugaji wa kuku ila ni porini sana na kenge walikuwa wanatusumbua sana kuja kula mayai.

Hatari Yake
Mkia wake ndio silaha yake ya kujilinda ana nguvu sana kwenye ule mkia akikupiga Miguu anaweza akakuumiza vibaya sana japo ni kiumbe kioga sana.
 
Mcheki mchawi wa wachawi MSHANA anaweza kuwa na solution yule jamaa..[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wasalaam wanajukwaa, ningependa kufahamishwa ni kwa namna gani Kenge anavyoweza kumdhuru Binadamu, namna ya kumuepuka kama kuna yoyote anafahamu njia za kukabiliana na viumbe hawa kama tulivyosikia jinsi ya kukabiliana na nyoka kwa kumwaga mafuta na njia zinginezo.

Nahitaji msaada wenu wana jukwaa maana huku makao mapya hawa viumbe wametapakaa kila kona kwhy ningependa kufahamishwa hayo ili kuishi salama na familia.

Nawasilisha kwa msaada wa haraka
Niliwahi sikia eti akimkuta mtoto kalala au mtu mzima akifanikiwa kuingiza ulimi wake puani kwako eti ananyonya ubongo wako wote hadi unakufa..
Na kingine inasemekana eti akikutandika na ule mkia wake ukaumia hicho kidonda wanasema hakiponi
 
Back
Top Bottom