PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kwani unadjani wachezaji wake ni walewale katika hiyo miaka 23? Hata viongozi ni tofauti.Kwa mtazamo wangu timu nayoona inaenda kuleta ushindani ni Pamba Fc tu, wanaujua uchungu wa kuwa nje ya ligi miaka 23,
Kengold wageni wa ligi wakileta mbwembwe kama Tabora united wanashuka tena