MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Kwa upande wa pili Yanga imeshajulikana ndiye bingwa inafahamika ni timu tishio hali inayopelekea vilabu vingine vidogo kama KMC, Simba, Azam n.k kuikakia mno! Hivyo angalizo kwa Yanga wanapaswa kuja na mkakati mbadala kukabiliana na hali hii.
PIA SOMA
- FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024